Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata zamani sijawahi angalia
Kuna kadogo kangu kamoja kanapenda haya mambo...kaliwahi shiriki..aisee hela Hana anakopa ili anunue nguo aende shiriki umiss chuo.
Kweli urembo ni hobby.
Hobby haswa

Vipi ameishia wapi yeye ? Urembo una gharama si mchezo .. inahitajika uwe vziuri financial na support kubwa watu wa karibu
 
sema mie nawakubali R na F wana behave kisomi na smart, wanaonesha umuhimu wa kuwa na Elimu, ila R anajua kutetemesha, anatema yai had chimbo linatikisika, yaan kimalikia chake kimenyoooka mno, ndo raha ya kusoma majuu.

Afu kumbe F kamaliza UDSM 2015, mie nilijuaga mtoto mwenzangu wee siku hiyo acha aniweke wazi nlishtuka, ana muonekano wa kitoto.

N mswahili sana, some time wakianza kukwaruzan na J lo, bas mambo mareshhhh.
Yeah nafikiri alimaliza 2015, nilimfahamia kule celebrities walikuwa wanamdiscuss.

Kwa hiyo mnakoma na kinge cha wasomi? Kina "kitumbo" na "remember" si wanapata tabu? J lo naye ana mdomo
 
Ndo shida hapo
Nimesikia habari kama hiyo Rwanda
Wenzetu walipoendelea ndo hakuna vitu ivyo.

Humu kiafrica Africa Ni ngumu mno.

Hata hawa wasanii wenu wa kike hapa bongo ambao wanatamba huko nyuma ya pazia wamepitia uzalilishaji mkubwa wa kingono.

Mnamitihani si kidogo watoto wa kike poleni sana
 
Back
Top Bottom