Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Hips kama loteeee!!



Hips kama loteeee!!



Yes yuko vizuri nae.Mie nimemuelewa Jenipher!
Wenzetu walipoendelea ndo hakuna vitu ivyo.
Humu kiafrica Africa Ni ngumu mno.
Hata hawa wasanii wenu wa kike hapa bongo ambao wanatamba huko nyuma ya pazia wamepitia uzalilishaji mkubwa wa kingono.
Mnamitihani si kidogo watoto wa kike poleni sana
Nafurah kuwaona x zangu wakifanikiwa cio x ukimuona kapigika mpka unabadili njia usimuoneAh pole sana
Mapenzi haya![]()
😂😂😂😂Unawish kuhamia mjini? Kaa hukohuko kwanza hadi arudi Mlebanon; atakufa kwa presha za mapedeshee huko alipo😁😁
Khakhaaaa! Hasa wa Advance ndio vichomi kweli kweli!!Unanikumbusha mwalimu mmoja hivi lasaba A. Ndala shule ya msingi.
alikuwa akiingia kufundisha Mimi sisikilizi anachosema/ macho yangu na akili zilikuwa zinaangalia neema zake alivojaliwa.
Katika wanafunzi wako wenye akili kama zangu Ni ngumu kukosekana
Niacheni 😒acha zako nawee.
Yah rose mtoto pisi sana Ile ya (ARU)Eti eeh
Ooh huyu wa 2020 alikuwa mchagga
Ai givu AP😔Hahahaha tupo wengi
Nimegive up![]()
Ndo inatakiwa iwe hivyoNafurah kuwaona x zangu wakifanikiwa cio x ukimuona kapigika mpka unabadili njia usimuone
Hajamaliza bado kwani ?Yah rose mtoto pisi sana Ile ya (ARU)
Anaendelea kushiriki shiriki mara miss photo nini sijuiHobby haswa
Mimi nilivyokuwa mdogo nilipenda sana kuwa miss hadi wageni wakija nyumbani natembea kimiss huyo .. nikawa naitwa miss jina la eneo... Nilivyokuwa mkubwa ndoto zetu zimeisha
Vipi ameishia wapi yeye ? Urembo una gharama si mchezo .. inahitajika uwe vziuri financial na support kubwa watu wa karibu
🥹🥹 Nimekwama kwenye ISAIAH 53.. nimehsindwa kutoka hapaaa ✍️✍️✍️Ewaaa nenda kajifungie tu huko, uishibishe nafsi yako. Hukawii kuvurugwa humu😁😁😁
Ukute kufumba na kufumbua naenda kujifua na mimi alimopita boss ledi😁
Sitaki kuumiza kichwa😃
Code ngumu