Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inaelekea ulikuwa unapiga sana vyombo SYB

miezi sita hujaonja mvinyo!unakaribia kuacha kabisa.

Unapenda mvinyo wa aina gani?white,Rosè au Red?
Ni kweli nilikuwa napiga sana vyombo. Na bia yangu ilikuwa ni hii: Dogfish 90. Yaani ukisikia wanasema bia tamu ndo hii bia inaimbwa sasa! Lainiiii, tamu na inakulewesha unajiona hivi hivi.
dogfish-90-minute.jpg

Nadhani nilikosea nilipoanza kuchanganya na hayo ma Absolut. Ikabidi tu nisalimu amri na kuacha....

Mvinyo ni whites na hasa hasa Chardonnay na penyewe ni mara moja moja sana. Naweza hata kukata mwaka mzima sijaonja. No big deal...
image.jpg
 
Ni kweli nilikuwa napiga sana vyombo. Na bia yangu ilikuwa ni hii: Dogfish 90. Yaani ukisikia wanasema bia tamu ndo hii bia inaimbwa sasa! Lainiiii, tamu na inakulewesha unajiona hivi hivi.
View attachment 2231124
Nadhani nilikosea nilipoanza kuchanganya na hayo ma Absolut. Ikabidi tu nisalimu amri na kuacha....

Mvinyo ni whites na hasa hasa Chardonnay na penyewe ni mara moja moja sana. Naweza hata kukata mwaka mzima sijaonja. No big deal...
View attachment 2231125
Bora ulivyoacha kunywa😁

Lakni kuna maisha ni lazima mtu uyapitie ili ujifunze na kujua nini ni nini..

Natamani kuionja hiyo Dogfish 90 nithibitishe hicho unachokisifia ni kweli?😎

😃😃

Unachupa yako ya Chardonnay kutoka kwangu..siku ukifika misungwi nijuze chap..hallelujah
 
Bora ulivyoacha kunywa

Lakni kuna maisha ni lazima mtu uyapitie ili ujifunze na kujua nini ni nini..

Natamani kuionja hiyo Dogfish 90 nithibitishe hicho unachokisifia ni kweli?



Unachupa yako ya Chardonnay kutoka kwangu..siku ukifika misungwi nijuze chap..hallelujah
Itunze hiyo chupa binti...

Kuna siku tutainywa tu....

Tuombe uzima binti....

Yeah! Pombe siyo dili!

Been there done that
 
Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno manne tu:

1. Nkamu

2. Kyara

3. Ndaga fijo

4. Kalumbu

Hovyo kabisa. Wala hamna haki ya kujiita Wanyaki hata kama mnakwolifai kwenye vigezo vingine (mf. Vishundu). Mnyaki pekee humu ninayejua anakidhi vigezo vyote ni Mkurugenzi. Yaani hata akikitandika Kindali/Kinyaki chake you feel the pride that comes with knowing your mother tongue, your culture and ultimately yourself....
Ewaaaa
Itabidi niwapigepige msasa hawa watu 😃
 
Back
Top Bottom