Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,482
Hawezi kuwa kalala muda huu chuchunge yule
anaweza akawa anatuchungulia tu hapaHawezi kuwa kalala muda huu chuchunge yule
anaweza akawa anatuchungulia tu hapaSasa utajiitaje Mnyaki wakati Kinyaki hukijui? Mfaransa kweli anaweza kujiita Mfaransa wakati Kifaransa hakijui? Hiki kizazi chenu hiki kwa kweli ni pasua kichwa.Mimi mnyaki ndiotena mnyaki haswa ila sasa kinyaki sikijui.





Ogopa matapeli injinia. Hakuna Mnyaki flat screen...Kinyaki cha ndani ndani hukooo
Kumbe na wewe Mnyaki ndiyo sababu unakishundu![]()
Haya ni maneno ya Shimba Ya Buyenze
Sasa utajiitaje Mnyaki wakati Kinyaki hukijui? Mfaransa kweli anaweza kujiita Mfaransa wakati Kifaransa hakijui? Hiki kizazi chenu hiki kwa kweli ni pasua kichwa.
Eti umekomaa kabisa mi Mnyaki tena Mnyaki hasa ila Kinyaki sikijui na pua umebana![]()









Mtumishi weka hata ka mkono basiOgopa matapeli injinia. Hakuna Mnyaki flat screen...
Irudiweeeeeeeeeeeanaweza akawa anatuchungulia tu hapa
Nazipenda sana😋We huvipendi?
Vimenishushia sumu..
Kuna sehemu nilienda chokoza mtu aingie kingi wapiiii…
Meshushuka shuu
Nikaona heri nideal na mov..
Mkuu vocha ulipata?Mlale Ila msifanye chochote
Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno manne tu:
Usinichezee Mtumishi. Nimepiga mvinyo mweupe wa kutosha hapa. Naweza kujiripua bila emoji wala nini ohooo!
InawezekanaMlale Ila msifanye chochote

Kwani watu wakilala wanafanyaga nini usingizini? Wanakoroma ama?Mlale Ila msifanye chochote


Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno matatu tu:
1. Nkamu
2. Kyara
3. Ndagafijo
Hovyo kabisa. Wala hamna haki ya kujiita Wanyaki hata kama mnakwolifai kwenye vigezo vingine (mf. Vishundu). Mnyaki pekee humu ninayejua anakidhi vigezo vyote ni Mkurugenzi. Yaani hata akikitandika Kindali/Kinyaki chake you feel the pride that comes with knowing your mother tongue, your culture and ultimately yourself....

Jilipueeee. Nina faya extingwishaUsinichezee Mtumishi. Nimepiga mvinyo mweupe wa kutosha hapa. Naweza kujiripua bila emoji wala nini ohooo!
Kaka ningepata ningeleta mrejesho nimeambulia manyonya tu labda nijaribu keshoMkuu vocha ulipata?