Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi mnyaki ndio tena mnyaki haswa ila sasa kinyaki sikijui.
Sasa utajiitaje Mnyaki wakati Kinyaki hukijui? Mfaransa kweli anaweza kujiita Mfaransa wakati Kifaransa hakijui? Hiki kizazi chenu hiki kwa kweli ni pasua kichwa.

Eti umekomaa kabisa mi Mnyaki tena Mnyaki hasa ila Kinyaki sikijui na pua umebana
 
Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno manne tu:

1. Nkamu

2. Kyara

3. Ndaga fijo

4. Kalumbu

Hovyo kabisa. Wala hamna haki ya kujiita Wanyaki hata kama mnakwolifai kwenye vigezo vingine (mf. Vishundu). Mnyaki pekee humu ninayejua anakidhi vigezo vyote ni Mkurugenzi. Yaani hata akikitandika Kindali/Kinyaki chake you feel the pride that comes with knowing your mother tongue, your culture and ultimately yourself....
 
Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno matatu tu:

1. Nkamu

2. Kyara

3. Ndagafijo

Hovyo kabisa. Wala hamna haki ya kujiita Wanyaki hata kama mnakwolifai kwenye vigezo vingine (mf. Vishundu). Mnyaki pekee humu ninayejua anakidhi vigezo vyote ni Mkurugenzi. Yaani hata akikitandika Kindali/Kinyaki chake you feel the pride that comes with knowing your mother tongue, your culture and ultimately yourself....


Saint Anne Mwamposa
 
Back
Top Bottom