Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anaza Mnyaki wa jina tu lakini Kinyaki anafahamu maneno manne tu:

1. Nkamu

2. Kyara

3. Ndaga fijo

4. Kalumbu

Hovyo kabisa. Wala hamna haki ya kujiita Wanyaki hata kama mnakwolifai kwenye vigezo vingine (mf. Vishundu). Mnyaki pekee humu ninayejua anakidhi vigezo vyote ni Mkurugenzi. Yaani hata akikitandika Kindali/Kinyaki chake you feel the pride that comes with knowing your mother tongue, your culture and ultimately yourself....
Weee Mimi ni mnyaki og
 
Robertson wine plus image,wahuni wote peponi *****
IMG_20220519_222658.jpg


Sent from my itel A509W using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom