Kwani nikikuomba namba utaninyima wakwetu??Kheeee
Makubwa…
Kwani nikikuomba namba utaninyima wakwetu??Kheeee
Makubwa…
Mimi mnyaki ndioKinyaki cha ndani ndani hukooo
Kumbe na wewe Mnyaki ndiyo sababu unakishundu![]()
Haya ni maneno ya Shimba Ya Buyenze
tena mnyaki haswa ila sasa kinyaki sikijui.Basi usiseme Mnyaki haswaaaa, futa hayo maneno, hiyo haswaa muachie Saint AnneMimi mnyaki ndiotena mnyaki haswa ila sasa kinyaki sikijui.
Sina hizo namba zenyeweKwani nikikuomba namba utaninyima wakwetu??
Aah wapiKinyaki cha Songwe huko ndani ndani nkamu😅😅😅😅
Hata Simara anajua🏃🏃🏃🏃🏃🏃
H SNi tunda kama chungwa

Ni chenzaaaa 😂😂😂H S
Mimi ni nani
Nikupinge
Lipo kama chungwa lakini sio chungwa![]()
H S
Mimi ni nani
Nikupinge
Lipo kama chungwa lakini sio chungwa![]()
Haya nimefuta.Basi usiseme Mnyaki haswaaaa, futa hayo maneno, hiyo haswaa muachie Saint Anne
Si unipe hata za Nida tuuSina hizo namba zenyewe
Sasa unaona vocha haijalaikiwaDuh
JF kuna kila kitu
Niko under 18, sijasajiliwa badoSi unipe hata za Nida tuu
Yale malalamiko ya vijana kuwa umefunga PM, umeyafanyia kazi au?Sasa unaona vocha haijalaikiwa
Means haijaonwa
Kumbeee 😂😂😂
Bado hajayafanyia kazi mama mchungaji anahitaji maombi huyuYale malalamiko ya vijana kuwa umefunga PM, umeyafanyia kazi au?
😀😀😀 Tayari 🤸♂️🤸♂️Yale malalamiko ya vijana kuwa umefunga PM, umeyafanyia kazi au?
Doh yaani hatari😂😂kuna kundi huwa linapita kimya kimya wanapitaga kuanzia na picha hadi vocha aisee ni hatari mno.