Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa hio nikipata kazi ya mbali sana kukaa mwaka au miezi mingi huwezi niruhusu nipige hata mmoja, we unajua kabisa sisi wanaume tulivyo, nakupigia simu mke wangu nimezidiwa sana, kwa hio hutoniruhusu hata wa kupunguzia hamu? 😆 😆 😆

Acha hivyo basi.nitakuruhusu

Kwa hio nikipata kazi ya mbali sana kukaa mwaka au miezi mingi huwezi niruhusu nipige hata mmoja, we unajua kabisa sisi wanaume tulivyo, nakupigia simu mke wangu nimezidiwa sana, kwa hio hutoniruhusu hata wa kupunguzia hamu? 😆 😆 😆

Acha hivyo basi.
Haipo hiyo kwani Hadi uombe wew ukitaka kufanya fanya tu huko nisijue tuheshimiane
 
Kwa hio nikipata kazi ya mbali sana kukaa mwaka au miezi mingi huwezi niruhusu nipige hata mmoja, we unajua kabisa sisi wanaume tulivyo, nakupigia simu mke wangu nimezidiwa sana, kwa hio hutoniruhusu hata wa kupunguzia hamu?

Acha hivyo basi.
Yaani umuambie kabisa wife unataka kupiga nje? Aisee hapana wewe fanya tu kimya kimya.
 
Baraka za walio tutangulia muhimu sana, hapo walipofika kuna neema ya Mungu imewafikisha . Inapotokea akakubariki anaruhusu neema ile ile iliyo mvusha ikuvushe na wewe.

Baraka za wazee ( wakubwa Mungu huzieshimu sana wanapoziachia na huwa zina nguvu sana) , Jakobo alibariki nyumba ya Farao na ile baraka ili work kwa kina Farao ( lineage yao yote ) hadi yule Farao wa mwisho unaweza tazama picha ya Farao ila alikuwa vile kwasbabau Jakobo alibariki. ✍️✍️
"Wala haikanushiki kabisa kwamba mdogo hubarikiwa na mkubwa."
 
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume )
Kwakweli heshima ifate mkondo hawez kuwa na mmoja sawa anamatamanio sijakataa sasa ndo Hadi useme kwanza mwanaume wangu nikikufumania nakuacha huna vigezo mwanaume unafumaniwaje 🤣🤣🤣
 
😀😀😀😀 huwa napenda sana Mithali Sura ya 30 na 31 nikisoma huwa nafurahi tu, kwa ufupi huwa napenda Mithali na ni chakula cha kila siku kuna nondo mle ukizila ninhatari
Nilipewa hili neno siku ya ubwabwa wangu;

Proverbs 31:23. Her husband is respected in the gates, When he sits among the elders of the land.
 
Back
Top Bottom