Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwakweli heshima ifate mkondo hawez kuwa na mmoja sawa anamatamanio sijakataa sasa ndo Hadi useme kwanza mwanaume wangu nikikufumania nakuacha huna vigezo mwanaume unafumaniwaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanaume hatakiwi kabisa kufumaniwa [emoji23][emoji23] nimepaelewa hapo.
 
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume [emoji23])
Wee sema kinachouma sio mume...ongea ukweli ...kinachowauma nyie ni ile kuwa hela kapewa mwanamke mwengine🤣🤣🤣🤣🤣
 
Like a daddy, az a Kiddy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba mnipeleke kwa Ras Simba, Engish couzz.
Uwiiiiih
FB_IMG_16527341983268991.jpg
 
Mimi nisiambiwe hizo habari kabisa. Tunajua kabisa wanaume wapo vipi lakini nisijue afanye mambo yake kimya kimya. Mume anauma weee (japo sina hata huyo mume [emoji23])
Unaniambia "mme wangu huko uliko najua kuna wanawake wengi wazuri kuliko mimi, najua unatafuta na utakaa muda mrefu, nilikuwa nakuambia tu kama ikitokea unahitaji mwanamke nimekupa ruhusa......lakini...."
 
Back
Top Bottom