Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Nakuona ulingoni
Nakuona ulingoni
NtachekeeshaNahisi utapendeza ukienda kwa anayejua kusuka bob vizuri. ...
Mimi huwa najaribu huyo uzuri huwa sijali hata kama sitopendeza nabaki nazo tu hadi niamue mimi

Ndiyo kaka chuchuNakuona ulingoni
I screenshot uwekeNataka niweke picha yangu ndio.
Hamna ,una kichwa kizuri tu mbonaNtachekeesha![]()
Endelea kufoongookaNdiyo kaka chuchu
I mean chuchunge
Sio kwa bobHamna ,una kichwa kizuri tu mbona
Utadamshi
Na mbengo zikashokeEndelea kufoongooka
KabisaHajapenda huyo![]()
HayaSio kwa bob
Na hii sura ya baba yangu akiyanani ntakuwa kama karaba wa kwenye kirikou
Ngoja nianze navyoHaya
Anza na hizo vitunguu vikubwa kwanza
😁 😆😆😆 kweli eeh, mi najua ndio mapenzi yenyeweHajapenda huyo![]()
Ndo nashngaa Yan hajapenda kabisa asitutanieKabisa
Eti anasemaje sijui aiseeee



Shostito Jomoneh
Umekuja??
Nilikumisss acha tyuh!
Ukapotea kimya sieeeeew
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







