Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si ndo hapo ni uzembe wa Hali ya juu
Kwakweli sinaga mda wa kumfatilia mtu Tena nikiwa sinampango wa kuachana nae ndo kabisa tupeane heshima sasa Hadi nikufamanie utakuwa hujielew yaani nikifumanie umekwama wapi hasa
Aisee Mungu atusaidie . Una hiyo experince mama ya kumkuta mtu live anacheat???
 
Unaniambia "mme wangu huko uliko najua kuna wanawake wengi wazuri kuliko mimi, najua unatafuta na utakaa muda mrefu, nilikuwa nakuambia tu kama ikitokea unahitaji mwanamke nimekupa ruhusa......lakini....nimelewa 🤣🤣🤣

Sii mnaiheshimu pesa ya mwanaume na sio kwamba mnampenda huyo mwanaume
Hamna kitu km icho Kuna wanaume jmn unapenda tu utake usitake sijui wanatushikaga wapi awe na hela au Hana labda ukose iyo bahati😁 Ila kunawanaopendwa bhna serious na tunalialia ovyoovyo balaa
 
Unalambwa vizuri tu..
Pesa ni extra japo ina umuhimu wake kwa kiasi fulani .
Wee usilete story hapa....utafiti umeshafanywa mara kibao na number one coz ya marital problems ni money.
Sababu namba moja ya mke kuchepuka ni mwanaume kukosa pesa. So usijidanganye kabisaaa.

Mfano rahisi tuu kwenye nyumba baba akikosa hela tuu wote humo ndani mnanuniana ata watoto wanamuona baba boya tuu
 
Aisee Mungu atusaidie . Una hiyo experince mama ya kumkuta mtu live anacheat???
Sijawahi kukuta live na sitaki niliwahi kukuta sms tu tangu hapo nikasema sishiki simuya mtu na Sina huo mda muhimu tuheshimiane na nikikukuta mapenz yameisha Sina huo uvumilivu Yan niskufatilie alafu nikukute maan yke unanionyesha dharau
 
Wee usilete story hapa....utafiti umeshafanywa mara kibao na number one coz ya marital problems ni money.
Sababu namba moja ya mke kuchepuka ni mwanaume kukosa pesa. So usijidanganye kabisaaa.

Mfano rahisi tuu kwenye nyumba baba akikosa hela tuu wote humo ndani mnanuniana ata watoto wanamuona baba boya tuu
Wale wanaume wenye 'mihela' na wanagongewa wake zao na vijamaa hata havieleweki nao issue ni mkwanja?
 
Wale wanaume wenye 'mihela' na wanagongewa wake zao na vijamaa hata havieleweki nao issue ni mkwanja?
Turudi kuleeeee eden kupata jibu la swali lako.....je mwanamke alikuwa hajapewa kila kitu lakini akadanganyika kwa kitu kidogo
 
Wee usilete story hapa....utafiti umeshafanywa mara kibao na number one coz ya marital problems ni money.
Sababu namba moja ya mke kuchepuka ni mwanaume kukosa pesa. So usijidanganye kabisaaa.

Mfano rahisi tuu kwenye nyumba baba akikosa hela tuu wote humo ndani mnanuniana ata watoto wanamuona baba boya tuu

Sio wanawake wote ni gold diggers na Kama ingekuwa hivyo basi ndoa nyingi zingefeli ..kwa hali jinsi ulivyo watu wanavumiliana kwa shida na raha

Ke kuchepuka sio pesa tu kuna other factors pia zinapelekea yeye kuchepuka Kama kutoridhishwa na mtu wake , usaliti , kutopewa thamani , vishawishi vya hapa na pale

Hiyo familia sidhani pia Kama watoto wamelelewa vyema hawawezi kumdharau baba yao kisa pesa ..
Heshima ni kitu cha msingi sana

Love will always prevail
 
Back
Top Bottom