Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Baraka za walio tutangulia muhimu sana, hapo walipofika kuna neema ya Mungu imewafikisha . Inapotokea akakubariki anaruhusu neema ile ile iliyo mvusha ikuvushe na wewe.Amen jirani Pasta
Baraka za wazee ( wakubwa Mungu huzieshimu sana wanapoziachia na huwa zina nguvu sana) , Jakobo alibariki nyumba ya Farao na ile baraka ili work kwa kina Farao ( lineage yao yote ) hadi yule Farao wa mwisho unaweza tazama picha ya Farao ila alikuwa vile kwasbabau Jakobo alibariki. ✍️✍️









