Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

51037677_255417195394127_3481007172498043220_n.jpg
 
Mama la Mamaa mahondaw umelala au unatucheki kama guest user fanya namna maana wewe ni namba ingine uzuri na urembo wako haulezeki hata wanaotumwa kukuhujumu ili nafsi yako iiname wameisha fail tayari wewe ni habari ingine ingine matawi ya juu hadi mbinguni yanafika .. ebu fanya namna wajomba tufurahi alafu tulale mama usiw na mkuu mpolena mtulivu mwenye huna makuu wala sio muongeaji eeh yani yule mwanamke wa mithali ndio wewe
Nakazia
 
Yan ndo vile navojisikia akinigusa et akamshike mwingine nisimind kwamba Yan Yale Mambo akampe mwingine
Kwa hio nikipata kazi ya mbali sana kukaa mwaka au miezi mingi huwezi niruhusu nipige hata mmoja, we unajua kabisa sisi wanaume tulivyo, nakupigia simu mke wangu nimezidiwa sana, kwa hio hutoniruhusu hata wa kupunguzia hamu? 😆 😆 😆

Acha hivyo basi.
 
Back
Top Bottom