Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tabora boys hakna KLF, iko Milambo hiyo comb. Waziri Bashungwa leo kafafanua hakna kubadili comb wala shule.
Mzee baba wangu alisomaga hiyo KLF alikuwa anakosoa kweli English yangu hadi nilikuwa sitaki kabisa kuongea .. hata utamkaji ukitamka isivyo sawa anaanza mada au ananipa kazi ya kutafuta mambo ya kifaransa yaani 😅😅😅
 
Nawajua CBG kibao walienda toboa hapo SUA sasa hivi wana kazi zao nzuri tu.. ina wigo mpanaa sana .. ila hata HGL ipo fresh sema hofu ya madogo mie leo nikzirudi shule nasoma kabisa HKL
una utani wee, hauko serious, eti HKL khaaah.
 
una utani wee, hauko serious, eti HKL khaaah.
Vijana wasomi wengi wana soma combination kwa ushawishi wa mazingira ya maisha na ajira ila uhalisia combination yoyote unatoboa.. wengi wanachagua haya kwa macho ya ajira na urahisi wa maisha kitu ambacho sio sahihi
 
#sunrise 🌄
20220513_063648.jpg
20220513_063812.jpg
 
Back
Top Bottom