cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Umwambie anitunzie, mwenye saccoss amechanga na rambirambi, hahahaha






Umwambie anitunzie, mwenye saccoss amechanga na rambirambi, hahahaha






CBG anasoma hapo sua kozi kadhaa, ikiwepo animal science.. akakomae akipata kuna kozi zake hapo sua za degree zitamgonja 😅😅Jaman Ualimu nawee, kwa HKL hapana. Aseeeh. Km vipi aende private akasome PCB.
Mzee baba wangu alisomaga hiyo KLF alikuwa anakosoa kweli English yangu hadi nilikuwa sitaki kabisa kuongea .. hata utamkaji ukitamka isivyo sawa anaanza mada au ananipa kazi ya kutafuta mambo ya kifaransa yaani 😅😅😅Tabora boys hakna KLF, iko Milambo hiyo comb. Waziri Bashungwa leo kafafanua hakna kubadili comb wala shule.
![]()
Bora hivyooo.CBG anasoma hapo sua kozi kadhaa, ikiwepo animal science.. akakomae akipata kuna kozi zake hapo sua za degree zitamgonja![]()



Mzee baba wangu alisomaga hiyo KLF alikuwa anakosoa kweli English yangu hadi nilikuwa sitaki kabisa kuongea .. hata utamkaji ukitamka isivyo sawa anaanza mada au ananipa kazi ya kutafuta mambo ya kifaransa yaani![]()






Nimecheka mno.Nawajua CBG kibao walienda toboa hapo SUA sasa hivi wana kazi zao nzuri tu.. ina wigo mpanaa sana .. ila hata HGL ipo fresh sema hofu ya madogo mie leo nikzirudi shule nasoma kabisa HKLBora hivyooo.![]()
Wao walikuwa wanajua sana English sasa mie naongea pumba za english basii inakuwa taabu, nilianzaga kidogo kutamba english nilipokuwa nafanya kazi na wachina na mie nikawa navimbaaa maana hatuchekani 😅😅😅Nimecheka mno.
Nawajua CBG kibao walienda toboa hapo SUA sasa hivi wana kazi zao nzuri tu.. ina wigo mpanaa sana .. ila hata HGL ipo fresh sema hofu ya madogo mie leo nikzirudi shule nasoma kabisa HKL





una utani wee, hauko serious, eti HKL khaaah.Wao walikuwa wanajua sana English sasa mie naongea pumba za english basii inakuwa taabu, nilianzaga kidogo kutamba english nilipokuwa nafanya kazi na wachina na mie nikawa navimbaaa maana hatuchekani![]()






hatareee sana.Vijana wasomi wengi wana soma combination kwa ushawishi wa mazingira ya maisha na ajira ila uhalisia combination yoyote unatoboa.. wengi wanachagua haya kwa macho ya ajira na urahisi wa maisha kitu ambacho sio sahihiuna utani wee, hauko serious, eti HKL khaaah.
mie nilikuwa naona nimetema yai kumbe mashuduu mbele ya mwenzanguhatareee sana.
NaniliuKwani humjui??
Au unataka kunichosha tu![]()


Mbona kamheshimisha sana tu


Huo mzigo mang'anyuHuna lolotekwani umeshawahi kwwli Anne
![]()
Pale Milambo24/7/2017 saa 11 jioni, siku niliyo report shule kuanza masomo ya advance.
