Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,558
Jmn
Watt wa Abiud,tuombe tulale
Kesho nayo siku!
Watt wa Abiud,tuombe tulale
Kesho nayo siku!
Plz nione internet iligoma plzOoh nimepitwa
Na we umepitwa nishafuta
Duuh nijua mmelalaMida ya kujilipua live!!
Sijasinzia napita kimya kimyaDuuh nijua mmelala
Sijasinzia na
Usiwaamshe tuko wawili tu hapa, wala usiwaadithie kilichotokeaSijasinzia napita kimya kimya
hahahaaaa..mie navizia kimya kimya boss!!
Nakazia!!
MwengineNajua tuko watatu kama kuna kwingine, pepo ataisikia
Ulale salamahahahaaaa..mie navizia kimya kimya boss!!
Nimepitwaaa lol.Mida ya kujilipua live!!
Tumekubaliana asihadithie!!Nimepitwaaa lol.
Aaah mkuu inamaana beki zake zinashindwa zuia!! Kwangu atanifanyia wepesi bwana!, usimshawishihuyo lazima anihadithie.
Afu hilo la mkuu halijakaa vizuri.Aaah mkuu inamaana beki zake zinashindwa zuia!! Kwangu atanifanyia wepesi bwana!, usimshawishi




Umwambie anitunzie, mwenye saccoss amechanga na rambirambi, hahahahaAfu hilo la mkuu halijakaa vizuri.
Huyo ataniambia tyuuh.