Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si waziri kakataa kasema hakna kubadilisha.
Oooh!

Nilikuwa sijaisikia hii.

Ni maagizo ya Prof. Mkenda huyu huyu mpya au ni mama Ndalichako aliyaacha?

Kuna dogo alipangwa KLF Tabora Boys mwaka jana/juzi lakini ndoto yake ilikuwa ni kada za afya na waliweza kubadilisha akaenda Tosamaganga PCM/PCB sikumbuki vizuri...
 
Oooh!

Nilikuwa sijaisikia hii.

Ni maagizo ya Prof. Mkenda huyu huyu mpya au ni mama Ndalichako aliyaacha?

Kuna dogo alipangwa KLF Tabora Boys mwaka jana/juzi lakini ndoto yake ilikuwa ni kada za afya na waliweza kubadilisha akaenda Tosamaganga PCM/PCB sikumbuki vizuri...
Si ndo walipewa nafasi za kuomba comb mtandaoni

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Oooh!

Nilikuwa sijaisikia hii.

Ni maagizo ya Prof. Mkenda huyu huyu mpya au ni mama Ndalichako aliyaacha?

Kuna dogo alipangwa KLF Tabora Boys mwaka jana/juzi lakini ndoto yake ilikuwa ni kada za afya na waliweza kubadilisha akaenda Tosamaganga PCM/PCB sikumbuki vizuri...
Tabora boys hakna KLF, iko Milambo hiyo comb. Waziri Bashungwa leo kafafanua hakna kubadili comb wala shule.
 
Back
Top Bottom