Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Shos weweπππππππ!! Sipati picha mfano siku eti umekamatwa mbona polisi atakoma πππππ!!
Shos weweπππππππ!! Sipati picha mfano siku eti umekamatwa mbona polisi atakoma πππππ!!
Sikujua kama akina Junia huwa wanasumbua kiasi hikiAnn Ni leo atakua hayupo vizuri kiakili ! Hajachangamka kabisa yani!!

Sijui ulifichwa wapi leo hadi ukakocha vocha tyuuuuπKwam vocha zako sijapata.![]()
Anaruka ruka tu yaani ni vurugu tupu
Huna loloteYaani kajunia kanatikisika humu ndani hadi kochi linanesa hapa


kwani umeshawahi kwwli Anne 


AiseeeHuna lolotekwani umeshawahi kwwli Anne
![]()
Mie mbona sijatuma hata!!
Kama simu imepasuka na picha zimetetemesha Seva vileHahahaaaa....!!! Simu mbovu so sikuhizi napiga kwa kubip bip!
Hiyo D ya Physics ndo imemuangusha mshauri akasome kwa bidii tuuNyie selection za mwaka huyu zina vituko, kuna mtoto alipata 2 ya 18, phys D, Chem C, bios B,
Kapangwa HGL, ambapo hist B, Geog B, Engl B.
Dogo analia vibaya, anasema hata CBG wangempanga.
Nyie hata huruma hawana,
Sawa bwana! Nishakosa vitu vizuriHahahaaaa....!!! Simu mbovu so sikuhizi napiga kwa kubip bip!
Sasa fanya nipate.Sijui ulifichwa wapi leo hadi ukakocha vocha tyuuuu![]()



Kuna quote yako naona imefutaaMie mbona sijatuma hata!!

Shos wewe!! Sipati picha mfano siku eti umekamatwa mbona polisi atakoma
!!






hapana.Kweli zote nishatupia mkuuSawa bwana! Nishakosa vitu vizuri