cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,943
NdyoooooHaha kumbe!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NdyoooooHaha kumbe!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi unanivunja mbavu khaaah.
😅😅😅😅 Shangazi Madam nitatupia badae kidogooo nita ku tag natupia nizma nzima leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo jirani bonge😅😅😅 Hii cadet zangu hizi badae nitarusha paka juuu shangazi mahondaw View attachment 2221479
santo sana... ungeonesha na juu jamani!! Inaonekana Umependeza hataree!😜😘😅😅😅 Hii cadet zangu hizi badae nitarusha paka juuu shangazi mahondaw View attachment 2221479
😁😁😁😁 mamaaa pastaaaa mwenyeweee nakuonaaa nakuonaaaa 🤪🤪🤪Ndiyo jirani bonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] wee hiyo cadet hata kumodolize umeshindwa?[emoji28][emoji28][emoji28] Hii cadet zangu hizi badae nitarusha paka juuu shangazi mahondaw View attachment 2221479
😅😅😅😅 Shangazi Madam nitatupia badae kidogooo nita ku tag natupia nizma nzima leo
😀😀😀😀😀 Badae badae nitatupia yoote acha kwanza nikijipaka mafuta usoni na mikononi maana nimepaukaa kama kipande cha muogosanto sana... ungeonesha na juu jamani!! Inaonekana Umependeza hataree!😜😘
[emoji23][emoji23]
Leo shangazi umepoaaa.
Are you OK?
Isije ikawa limtu huko limetuumizia shangazi yetu mpole asiye na makuu jamani. Tutalibonda mpaka liombe poo! [emoji51][emoji51][emoji51]
😀😀😀😀😀 Badae badae nitatupia yoote acha kwanza nikijipaka mafuta usoni na mikononi maana nimepaukaa kama kipande cha muogo
Hakika
😌😌😌😌😌 acha basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] wee hiyo cadet hata kumodolize umeshindwa?
Wakat wa upepo inapuga na kupepea km mfuko unaotolea unga kutoka kwa bomba la juu la mashine, hasa ya yale mashine ya kusaga ya kutumia Diesel.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
hahaha Shimba Ya Buyenze na Wigelekelo wakifika hapa sasa!🤔[emoji2][emoji2][emoji2] mjombaa
Halafu limtu lenyewe nilisukuma
linagubuu...
Sasa sijui mtabondanaje ndugu[emoji2][emoji2]
Akivaa ya mikono mirefu kaharibu [emoji16][emoji16]Mie napenda tshet za 4m 6, zile classic, au mashat fulaan ya kijanja, aaa wee nakufa miee. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Aaaaaah labda fulan hivi la kijanjaa.