Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Marahabaa toooo

Hkizo nawaonea sana huruma maana nchi na mifumo yake haijawaandalia pa kuwaweka zaidi ya kuwazalishaaa tu kwange kitaaa
Hivi sikuhizi hawaendi jeshini!!??? Wenye ndugu/ wazazi wanaojiweza walau wataangalia namna ila wenzangu namie hapa wasipojiongeza kutafuta miambili miatatu watachakaa kitaa balaa!
 
Hamna mamy mie pia nshapita huko lkn still napenda mwanaume avae kawaida tu, suti hizo kama ana event maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaongelea suti nimeshangaa tu hapo kwenye kuchomekea mara shati jeupe! Hata hio suti Huwezi kuvaa siku zote inategemea !! Mfano mwanaume apige kadet yake na shati la kuchomekea mbona anapendeza vizuri tu!!
 
Hivi sikuhizi hawaendi jeshini!!??? Wenye ndugu/ wazazi wanaojiweza walau wataangalia namna ila wenzangu namie hapa wasipojiongeza kutafuta miambili miatatu watachakaa kitaa balaa!
Jeshini siku hizi pagumu 😅😅😅😅 ni ku ji add tu but inasikitisha sana
 
Sijaongelea suti nimeshangaa tu hapo kwenye kuchomekea mara shati jeupe! Hata hio suti Huwezi kuvaa siku zote inategemea !! Mfano mwanaume apige kadet yake na shati la kuchomekea mbona anapendeza vizuri tu!!
Yaan cadet afu avae shat la mikono mirefu achomekee? Aaah hapana.
 
Maadam km maadam,
Uwaachiage fursa watoto wabutue vibomu, mie nawasubir huku chuo hapo wakaka wazuri, niwaleee.
Weeeeeeeehhh acha tu Shos tena hapa nilipo mkuu ana majaribu katika mitihani nyie naomba nitoke salama tu mie !! Sasa kuna hawa Pc wamama/ wababa in service watu na mishahara yao kibao hayo majaribu uwiiii!!🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom