Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,982
- 177,205
Hivi sikuhizi hawaendi jeshini!!??? Wenye ndugu/ wazazi wanaojiweza walau wataangalia namna ila wenzangu namie hapa wasipojiongeza kutafuta miambili miatatu watachakaa kitaa balaa!Marahabaa toooo
Hkizo nawaonea sana huruma maana nchi na mifumo yake haijawaandalia pa kuwaweka zaidi ya kuwazalishaaa tu kwange kitaaa





