Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Kuna vyakula ukila usiku ni kama unajipa tiketi ya kuota ndoto mbaya usingizini.
Uwe unakula mapema 🤣Kuna vyakula ukila usiku ni kama unajipa tiketi ya kuota ndoto mbaya usingizini.
View attachment 2221004
I wish i could be doing that. Ila ndo hivyo tena, mambo ni mengi. 😄Uwe unakula mapema 🤣
Niwape nn?










mie sitaki kucheka hapa lol.Huyu 2pac wa Buza?








Huyu 2pac wa Buza?
Jaman mbavu zinauma mie hapa, khaaaaah sitaki lol.






Naona umepiga dongo kama 2pac..
Shukrani sana mjomba biggie..





shangazi unanivunja mbavu khaaah.Napenda sana kunyoa dogo cause kuna watu niliwaona wakinyoa dongo wanapendeza nkaamua na mm niwe nanyoa hivo hasahasa watu kama 2PAC na MR BLUE







Selfika imevamiwa wallah. UwiiiiihUmejiziba sana lol.Ici c'est Paris. Paris est magique.
View attachment 2220853
Mzee Baba umekidhi vigezo vyote vya wadada wa hapa jf
Tall,dark handsome na kikubwa zaidi umepiga shati jeupe na umechomekea
Kuna Uzi humu ulipostiwa juzi wadada wakipenda staili yako ya uvaaji
ngoja waje....
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app






Tayari nshaweka uzi kuleeee.



