Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwema, then mjukuu wako kaniblock!
Kama kweli sema nimtumie mjukuu kizawadi sasa hivi. Usije tu ukambembeleza mpaka akaku-unbloku. Naomba sana ubakie kwenye bloku daimaaaa !!!
professor_focus~p~CdXq_NfNv1u~1.jpg
 
Baraza la kata. Jaman mie sitaki khaaaah.
Kuna mkaka chuo yeye alikuaga mda wote ni suti tyuuh, au laaa suruali ya kitambaa na shat la mikono mirefu ya dukan,

Siku hiyo nkamtolea uvivu, nkamchana aache ujinga wake, avae casual aseeeeh now time akipiga cadet, tshet la 4m 6, simple, dadeki bonge la bwanaa yaan, afu lizuri hataree, limepanda hewan, akiweka na uchebe wa kuibia, ananamilizaga sana mbwa yuleee.

Ni kweli aisee brother namuambiaga dogo ukiwa mkubwa piga pamba mademu watakufuata wenyewe,hata kama pesa hauna pendeza Dada zako tupo tsyari kukununulia pamba,,,,

tunajua dogo letu akipiga 4m6 zinamtoa kinyama na rangi yake mweeh na kule kudunda ooooh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mkaka anayevaa suti, sijui official namuona vipi yaan, nataka mkaka avae casual awww huwa navurugwa woiiiiiiih.

Ubaya wako mjukuu unawaza mizagamuo tu. Wengine wanavaa suti casual za kishikaji kwa ajili ya heshima na utulivu wa ndani walionao. Nadhani ni tofauti ya mitazamo tu...

Ukikua na kupunguza mizagamuo mtazamo wako kuhusu suala hili naamini utabadilika

Na ukinijibu ku*ya nakuitia kamanda Big akunyoroshe!
 
Ni kweli aisee brother namuambiaga dogo ukiwa mkubwa piga pamba mademu watakufuata wenyewe,hata kama pesa hauna pendeza Dada zako tupo tsyari kukununulia pamba,,,,

tunajua dogo letu akipiga 4m6 zinamtoa kinyama na rangi yake mweeh na kule kudunda ooooh

Sent using Jamii Forums mobile app
watu na wadogo zao mie dogo langu limeshakua janjarooo kitambooo.

Nikimtazama mdogo angu, najiona mkubwaaa.
 
Baraza la kata. Jaman mie sitaki khaaaah.
Kuna mkaka chuo yeye alikuaga mda wote ni suti tyuuh, au laaa suruali ya kitambaa na shat la mikono mirefu ya dukan,

Siku hiyo nkamtolea uvivu, nkamchana aache ujinga wake, avae casual aseeeeh now time akipiga cadet, tshet la 4m 6, simple, dadeki bonge la bwanaa yaan, afu lizuri hataree, limepanda hewan, akiweka na uchebe wa kuibia, ananamilizaga sana mbwa yuleee.

Ila coca

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom