Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Them clouds....

Tranquility.....

The gift of being alive.....

To enjoy the simple wonders of the Grand Designer Himself [emoji1545][emoji1545][emoji1545]

IMG_20220510_113319.jpg
 
View attachment 2218951View attachment 2218951
Unapokuwa Mzee unatakiwa kuongoza Kwa mifano Kwa wajukuu ili wapate vya kujifunza.

Hata miaka Ile Nchi imepigwa na Njaa ni Wazee ndiyo tulionja matunda na vyakula vigeni kabla wanafamilia wengine hawajala ili kama Kuna shida yeyote iondoke na Sisi kwanza [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Makinikeni nyote, Nchi inawategemea [emoji123]
Mzee wa mchongo[emoji1787]

Unatakiwa ustaafu

Sio mnang'ang'ania maofisini

La mwisho si kwa umuhimu

Bado unapiga kavu[emoji2089]

Sababu za kupima ni nini[emoji848]
 
Hivi vizee vya kizungu vimenipita kama vile nimesimama. Nimejaribu kuvifukuzia nikachemsha kifua kinabana. I have to up my jogging game....wiki mbili zijazo vikiingia tena kwenye anga zangu ndiyo vitajua havijui [emoji16][emoji16][emoji16][emoji123]
View attachment 2219040
Malambo aghenaya

Nhange nyanza[emoji848]
 
Back
Top Bottom