Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii ya shule umenikumbusha, nimekaa hostel unatoka huko umechoka ufike basi upumzike unakutana na nyomi la kufa mtu, kelele sasa kama mpo stendi nilikua naboreka. Sasa na mtaani tena nikarundikane na watu hii hapana nshashindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hostel nimepigwa miexile hadi basi.
Unakuta hapo nimetoka na upako wangu huko yaani Dah!

Vurugu tu,kuna watu wanaongea yaani..na katika hizo mada unakuta hata cha kuchangia sina.

Mimi hata kama watu hawana shida,basi tu huwa napenda privacy...nikae kivyangu vyangu tu.
 
Mimi hostel nimepigwa miexile hadi basi.
Unakuta hapo nimetoka na upako wangu huko yaani Dah!

Vurugu tu,kuna watu wanaongea yaani..na katika hizo mada unakuta hata cha kuchangia sina.

Mimi hata kama watu hawana shida,basi tu huwa napenda privacy...nikae kivyangu vyangu tu.
Tuishi na mie bas.
 
Back
Top Bottom