Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Ukikipata kimoja wapo unatulia tuli🤪🤪Viambie mie navisalimia hivyo vizee vya kizungu.![]()
Ukikipata kimoja wapo unatulia tuli🤪🤪Viambie mie navisalimia hivyo vizee vya kizungu.![]()
Naonaga uzushi, sipendi hata kidogo 😅😅 sio nzuri kwanzaNa wewe hutakagi sympathy kama mimi? 😐
Nikubashie kipi sasa 😅😅Hivi kumbe ehhhh???
Unibakishie siku moja nione....😁
Kuna mtu nimemmiss jaman humu ndani Sijui kapotelea wapi😔😔
Kweliacha uongo wako lol.
TupoooKuna mtu nimemmiss jaman humu ndani Sijui kapotelea wapi😔😔
AiseeHivi vizee vya kizungu vimenipita kama vile nimesimama. Nimejaribu kuvifukuzia nikachemsha kifua kinabana. I have to up my jogging game....wiki mbili zijazo vikiingia tena kwenye anga zangu ndiyo vitajua havijui
View attachment 2219040
Pole babuHivi vizee vya kizungu vimenipita kama vile nimesimama. Nimejaribu kuvifukuzia nikachemsha kifua kinabana. I have to up my jogging game....wiki mbili zijazo vikiingia tena kwenye anga zangu ndiyo vitajua havijui
View attachment 2219040

Hapa ni Misungwi. Kuna mwekezaji kaja amejenga haka ka enclave. Siku ukipita mitaa ya Rocky City nishtue tu mama Junia nikutembeze upaoneAisee
Nilijua mkurugenzi unaishi burigi huko

We kwa mbio hunishindi halafu!

Kweli kabisaYa kwa mwanadamu haiwezekani, ila Kwa Mungu kila jambo lawezekana na hakuna neno gumu kwa Mungu
Hili tabasamu la huyu baba mmmmh🤷🏼♀️
Kwasababu kukimbia siweziWe kwa mbio hunishindi halafu!![]()
,,,,,,maana ata rede raia walikuwa hawanitaki
....mie walikuwa wananiita mchangiaji
Sawasawa mkurugenzi wetu meneja kitambi.Hapa ni Misungwi. Kuna mwekezaji kaja amejenga haka ka enclave. Siku ukipita mitaa ya Rocky City nishtue tu mama Junia nikutembeze upaone![]()
Hmmmm...nadhani unichagulie mwenyewe. Cha msingi isiwe seafood 🙂Nikubashie kipi sasa 😅😅
Asante kwa uzoefuSafi. Nimehoji sababu naona sana kwa watu wengne, mwanaume akija na mwenza wake jamaa zake wanalala nje siku hiyona hii si haki hivyo nilitaman kujua kwa upande wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app

