Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Kumbe ni Mr.kahawaWee thubutuuu, unamjua huyo mtu? Anaweza kuwapangia hao wenzake kila mtu self container rooms, na akalipa miaka hata 5.
Kaamua tuu awe na company hivyo.
Uwezo anao sana huyo. Mr kahawa expensive.![]()
haya nimefuta kauli.Sent using Jamii Forums mobile app


