Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

toka lini umekuwa na speed kwenye kula jamani... si tulikubalina unakula kwa mwendo wa kinyongo na sharti kubakiza hata kiduchu tu 😅😅😅
😆😆😆😆

Nimekaa chini ya feni ikabidi nikimbizane na speed yake 🙂
20220510_150610.jpg


Kubakiza/kumwaga siunajua ni dhambi?🤓
 
Hivi vizee vya kizungu vimenipita kama vile nimesimama. Nimejaribu kuvifukuzia nikachemsha kifua kinabana. I have to up my jogging game....wiki mbili zijazo vikiingia tena kwenye anga zangu ndiyo vitajua havijui
View attachment 2219040
Viambie mie navisalimia hivyo vizee vya kizungu.
 
Tatizo unajitahidi, kwa Mungu huwa hatujitahidi, kwa Mungu huwa tuna jisalimisha na kufungua moyo na kukaa magotini pake ila kama unajitahidi ni ngumu kumuona Mungu, ila kama uta jilasimisha kwake Mungu anaujaza, niliondokewa na mzee baba, nili sturgle kichizi maana alikuwa kila kitu kwangu sijawai kupendwa duniani kama na mzee baba, zile moments ambazo nilikuwa nae zilikuwa zinanifanya hadi kama nachanganyikiwa so picha yake mda wote ilikuwa kichwani kila siku namuota hadi nilikuwa kama nimechizi sometime naongea mwenye... but msaada wa kiungu tu ndio ilitoa hapo maana sometime nilikuwa hadi nawish kufa.. Fungua Moyo kwa Mungu muambie umeshindea huwezi kitu simpe prayer ambayo ina imani inabadirisha kila kitu

Ooh Asante sana
Nitazingatia hilo na pole sana pia kwa kuondokewa na mzee .

Mimi najisahau sana naomba roho mtataktifu aniongoze katika hilo
 
Ooh Asante sana
Nitazingatia hilo na pole sana pia kwa kuondokewa na mzee .

Mimi najisahau sana naomba roho mtataktifu aniongoze katika hilo
Toka nilipokuwa free kwenye nafsi yangu sipendi kabisa pole wala sioni tija yake.. nina rejoice kifo cha mzee baba pale nikumbukapo... mbengu isipo anguka na kuoza haiwezi zaaa tena 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom