Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Uzuri tutakuwa tunaendanaSasa hutaki au?![]()
Kila mtu atakuwa kivyakevyake tu na mambo yake.
Ukiwa muongeaji lazima utajisikia vibaya..utaongea wee mimi nakusikiliza tu.
Uzuri tutakuwa tunaendanaSasa hutaki au?![]()
Vijijini kabisa hukuMbeya ntaenda mwezi august.
Daslam vijijin ndo wapi?![]()
Nimejikuta tu nimesimama hapamlongo upambe na umbea umeanza lini?

Japo yana gharama yake.Tupo wengi
Mimi naenjoy sana maisha haya ya upweke
Usijar hiyo shida ndogo.Uzuri tutakuwa tunaendana
Kila mtu atakuwa kivyakevyake tu na mambo yake.
Ukiwa muongeaji lazima utajisikia vibaya..utaongea wee mimi nakusikiliza tu.
Wapi?Vijijini kabisa huku
Maporini
Daslam ndanindaniWapi?




khaaah umbea haukufai, niachie mwenyewe.Ngoja nianze kupaki mabegi hapa.
Njoo
Afu kesho naweza kupita kazin kwako, jion.Daslam ndanindani
Ooh pole sanaJapo yana gharama yake.
Gharama yake nimeiona nilipopata matatizo.
It took me very long time to recover from stress...hadi sasa kichwa changu hakipo sawa sawa. .wakati wenzangu wapo sawa kitambo.
Ni kwa sababu nakaa pekeyangu muda mwingi.
Ni kweli haunifai loohkhaaah umbea haukufai, niachie mwenyewe.

Yaani hazipiti dakika kumi sijawaza hilo jambo..Ooh pole sana
Huwa ni ngumu sana .. waweza tafuta mtu unayemwamini na kumuelezea shida yako .
Hii huwa inasaidia sana muda mwingine .
Mimi nipo hivyo toka mtoto mara nyingi nilikuwa najifungia chumbani hivyo nimezoea kukaa mwenyewe .. ila nikiamua kuwa social naongea huyo balaa .
Utaniona tu ,Afu kesho naweza kupita kazin kwako, jion.
Jion babeeee,




Kwenda kwanza hostel ukapigwe kwanza exile mbili tatu zikufundishe kuvumilia kero za dunia🤣Ngoja nianze kupaki mabegi hapa.
Iko siku utakipata unachokitafuta,View attachment 2218951View attachment 2218951
Unapokuwa Mzee unatakiwa kuongoza Kwa mifano Kwa wajukuu ili wapate vya kujifunza.
Hata miaka Ile Nchi imepigwa na Njaa ni Wazee ndiyo tulionja matunda na vyakula vigeni kabla wanafamilia wengine hawajala ili kama Kuna shida yeyote iondoke na Sisi kwanza
Makinikeni nyote, Nchi inawategemea![]()





