cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,941
Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.Heeee!![emoji134]
Humu wamejaa akina cocastic wa mwaka elfu mbili
Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.Heeee!![emoji134]
Humu wamejaa akina cocastic wa mwaka elfu mbili
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mdogowangu akiharibu sasa [emoji16]
Huyu nae tulipangilia kabisa lkn tumekoma ndo Kaja na magubu ya ukoo mzima[emoji23][emoji23]karithi Hadi kapitiliza mtoto anagubu huyo mkeo ukioa akija kuleta kesi namrudisha mm kwao hakuwezi kwa gubu ilo la ukoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Umeshashindikana tayariMbaya ipi?
Kuleta Kajunia duniani?
Apige na goti kukuamkia ni amri sio ombi[emoji16]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Lingemsumbua kuzuia matatizo yasitoke duniani yaone jua maana watoto somtym tuna vituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee lisingemsumbua[emoji23]
Imagine alikuwa tayari amezaa watoto 6!
Ni huruma tu za mama akanizaa.
Happy mother's day
Hahahaaaa...acha tu sema nashukuru mungu dada yangu mkubwa ni dokta hosp nyingine ile ganzi ikiishai alikua ananiletea nyingine ananichoma kisirisiri weee oparesheni [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itafahamika hapo hapo.Shos zile hekaheka Sikupatii picha utavotukana wapuuzi haha![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah
mamaangu ukimkera utasikia kwanza na babaako tulikuwa hatuna mpango wa kukuzaa tulikuwa kwenye starehe ulikuja kwa kiherehere chako mshenzi wew[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Dada yangu pia alipataga ujauzito mtoto akiwa na mwaka[emoji16][emoji24][emoji24]Kuna mdada mtoto ana mwaka na miez ana mimba nyingine wamemwambia hivo nae nikimuona najisikiaga kulia anatia huruma yaani na op ya kwanza ilimsumbua
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!Kuweni na adabu nyie watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mie nakuzaaa huku nimesimama,. Yaan napush na kumdaka mtoto mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lingemsumbua kuzuia matatizo yasitoke duniani yaone jua maana watoto somtym tuna vituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tena anakua na babeee mwingne. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Maumivu na hasira maana wakati wewe unahangaika na maumivu baharia yeye anadunda tu huko...[emoji2][emoji2]
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] uwiiiWewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!
hahahahaAsee 86 nipo kwenye bukta ya mzee sijui nitatoka lini[emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe wasemaUmeshashindikana tayari
Yanii mie wapili nilinza kutoka bleed wakati hata hakuna uchungu kabisa...!!
Huyo juniaNilivyo mweupe kichwani, sielewi chochote hakiyanani wa ushuani hatujui haya mambo ya maneno maneno [emoji2096]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shouzzzz na muhusika nataka awepo napomletea kibaby kid wake.Wewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!
Sasa mdogo wetu wewe si wa elfu 2 na 5Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.
Nyie acheni hizi mada khaaaah[emoji3064][emoji3064][emoji3064] uwiii
Kwahiyo hadi mtoto anatoka[emoji3064][emoji3064][emoji3064]