cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.Heeee!!
Humu wamejaa akina cocastic wa mwaka elfu mbili
Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.Heeee!!
Humu wamejaa akina cocastic wa mwaka elfu mbili
AiseeeMdogowangu akiharibu sasa
Huyu nae tulipangilia kabisa lkn tumekoma ndo Kaja na magubu ya ukoo mzimakarithi Hadi kapitiliza mtoto anagubu huyo mkeo ukioa akija kuleta kesi namrudisha mm kwao hakuwezi kwa gubu ilo la ukoo
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app












Umeshashindikana tayariMbaya ipi?
Kuleta Kajunia duniani?


Lingemsumbua kuzuia matatizo yasitoke duniani yaone jua maana watoto somtym tuna vitukoWee lisingemsumbua
Imagine alikuwa tayari amezaa watoto 6!
Ni huruma tu za mama akanizaa.
Happy mother's day



Hahahaaaa...acha tu sema nashukuru mungu dada yangu mkubwa ni dokta hosp nyingine ile ganzi ikiishai alikua ananiletea nyingine ananichoma kisirisiri weee oparesheni![]()
Shos zile hekaheka Sikupatii picha utavotukana wapuuzi haha!![]()






itafahamika hapo hapo. Hahah
mamaangu ukimkera utasikia kwanza na babaako tulikuwa hatuna mpango wa kukuzaa tulikuwa kwenye starehe ulikuja kwa kiherehere chako mshenzi wew
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app


Dada yangu pia alipataga ujauzito mtoto akiwa na mwakaKuna mdada mtoto ana mwaka na miez ana mimba nyingine wamemwambia hivo nae nikimuona najisikiaga kulia anatia huruma yaani na op ya kwanza ilimsumbua
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

,,basi nilikuwa shinda nako muda wote,,kanalia..huku mama yake tumbo lipo kuleee.Wewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!Kuweni na adabu nyie watu?
Wee mie nakuzaaa huku nimesimama,. Yaan napush na kumdaka mtoto mwenyewe.
![]()
Lingemsumbua kuzuia matatizo yasitoke duniani yaone jua maana watoto somtym tuna vituko
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app














Tena anakua na babeee mwingne.Maumivu na hasira maana wakati wewe unahangaika na maumivu baharia yeye anadunda tu huko...![]()





Wewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!


uwiii


hahahahaAsee 86 nipo kwenye bukta ya mzee sijui nitatoka lini
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wewe wasemaUmeshashindikana tayari
Yanii mie wapili nilinza kutoka bleed wakati hata hakuna uchungu kabisa...!!
Huyo juniaNilivyo mweupe kichwani, sielewi chochote hakiyanani wa ushuani hatujui haya mambo ya maneno maneno![]()

Wewe ukizaa kawaida utapush huku unatukana wewe hahH!!!








shouzzzz na muhusika nataka awepo napomletea kibaby kid wake.Sasa mdogo wetu wewe si wa elfu 2 na 5Nani wa elfu 2? Kuweni na adabu nyie watu.
Nyie acheni hizi mada khaaaahuwiii
Kwahiyo hadi mtoto anatoka![]()