Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
🚶‍♂️🚶‍♂️ mmh. Poleni
 
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
UwiiiI can not imagine
Na nilivyo Nyoronyoro
 
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
Hapo ndo balaa na ukinyanyua mdomo unaweza tukana Hadi wakwezako uyo mumeo unaweza kumvua nguozote huko wodini
Sema Mungu nae anamiujiza yake kile kichwa kipite hapa sio mchezowamama wanapambana aisee ndo maana akitoa radhi zinakufika hasa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom