Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,987
- 48,481
Yaan had uwape hela?Sanaa
Ukitaka wasikusumbue washikishe kidogo,watakudumia vizuri kabisa...
Ila private hospital manesi wanakuaga poa tu..






Heee
Wewe dada yangu bwana.
Mama yangu anaweza kuwa sawa na wako ,,ila pia mama yangu anaweza kuwa bibi yangu,huwa namwitaga bibi.








Muhusika atakua anakusubiria nje shos!shouzzzz na muhusika nataka awepo napomletea kibaby kid wake.
Tena anakua na babeee mwingne.![]()
Sasa kama una cheti cha kuzaliwaTukianza kutoleana vyeti vya kuzaliwa uzi utaganda...![]()

Yeah au za private unatoa zako mshiko wa maana unajifungua huku unabebelezwa kabisa ila serikalini mwee hawana muda wa kubembelezaYaan had uwape hela?![]()
🚶♂️🚶♂️ mmh. PoleniNdio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
Acha tu ndugu alafu nikiwa nahasira sichelewi kulia yaani kulia ni sekunde na nikilia anakzia hapohapo mbna unalia sasaKhaaaheti wauane
hasira zinapanda ukija kushtuka nimebaki na bukta ngumi juu juu 




Muite na mama malezi Heaven Sent aje aone nisivyokua mchoyo, maana leo kanisema sana mimi mchoyo hadi nimelia😭😭😭😭Nimeshakuja mie hapa.
Hawa wao wanajadili uzazi.
Muhusika atakua anakusubiria nje shos!





aaaah wee ntaomba nurse nae awepo.muwaheshimu na kuwapenda sana mama zenu kwakweli!🚶♂️🚶♂️ mmh. Poleni
UwiiiNdio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
I can not imagine 
@Heaven Sent mama malezi njoo huku. Unapitwaaaah.Muite na mama malezi Heaven Sent aje aone nisivyokua mchoyo, maana leo kanisema sana mimi mchoyo hadi nimelia![]()
Acha tu ndugu alafu nikiwa nahasira sichelewi kulia yaani kulia ni sekunde na nikilia anakzia hapohapo mbna unalia sasahasira zinapanda ukija kushtuka nimebaki na bukta ngumi juu juu
Mama anatulia anaangalia movie hadi mmoja ashindwe akalale
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app









Hapo ndo balaa na ukinyanyua mdomo unaweza tukana Hadi wakwezako uyo mumeo unaweza kumvua nguozote huko wodiniNdio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!

wamama wanapambana aisee ndo maana akitoa radhi zinakufika hasaTutaenda theatre dada usijar.UwiiiI can not imagine
Na nilivyo Nyoronyoro
Mbengo zilifungukaHuyo junia
Unaemleta aliingia je
Bila zagamuo na ku ashkrim![]()