Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe dada yangu bwana.

Mama yangu anaweza kuwa sawa na wako ,,ila pia mama yangu anaweza kuwa bibi yangu [emoji1787],huwa namwitaga bibi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
🚶‍♂️🚶‍♂️ mmh. Poleni
 
Khaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]eti wauane
Acha tu ndugu alafu nikiwa nahasira sichelewi kulia yaani kulia ni sekunde na nikilia anakzia hapohapo mbna unalia sasa[emoji16]hasira zinapanda ukija kushtuka nimebaki na bukta ngumi juu juu [emoji1787][emoji1787]

Mama anatulia anaangalia movie hadi mmoja ashindwe akalale [emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
Uwiii[emoji27]I can not imagine [emoji3064]
Na nilivyo Nyoronyoro
 
Acha tu ndugu alafu nikiwa nahasira sichelewi kulia yaani kulia ni sekunde na nikilia anakzia hapohapo mbna unalia sasa[emoji16]hasira zinapanda ukija kushtuka nimebaki na bukta ngumi juu juu [emoji1787][emoji1787]

Mama anatulia anaangalia movie hadi mmoja ashindwe akalale [emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
Hapo ndo balaa na ukinyanyua mdomo unaweza tukana Hadi wakwezako uyo mumeo unaweza kumvua nguozote huko wodini
Sema Mungu nae anamiujiza yake kile kichwa kipite hapa sio mchezo[emoji23][emoji23]wamama wanapambana aisee ndo maana akitoa radhi zinakufika hasa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom