Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,213
Inabidi turudi shule kusoma rangi Saint AnneDark green
Na mgomba wa ndizi, ile kijani ya mpauko
Inabidi turudi shule kusoma rangi Saint AnneDark green
Na mgomba wa ndizi, ile kijani ya mpauko
Kwani shangazi wewe saahizi ni nani?ndio ukweli..
Kwani shangazi wewe saahizi ni nani?




Hizi rangi huwa Mimi wa kishua na dada wa gram hatuhangaiki nazoInabidi turudi shule kusoma rangi Saint Anne




Mzigo wako mwingine huu Shangazi utaukuta, unapiga chapati na hizi unashushia 😁😁
Sasahivi mimi ni shangazi...
Hebu tulia kwanza![]()







Cream.. si ile inafanana na broken white?Yaan hapo sasa ndo ikae cream, weee mbna kaka mkubwa lazima awehuke.
Hiyo rangi hapana, ila kwako una enjoy the loookin bas poaaa.
HatariTunajuana ndiyo
Nilivyoanza kutumia Samsung anauliza eti ni yako?yule fan wa simu nzuri nzuri tu. ..


Jinga sanaUlikochotwa hisiaNifongokie wapi?
Mbaya ipi?Nimeshangaa
Umeanza tabia mbaya
Mzigo wako mwingine huu Shangazi utaukuta, unapiga chapati na hizi unashushiaView attachment 2216599


HapanaUlikochotwa hisia
Ewaaaaaah yeaaa broken whiteee.Cream.. si ile inafanana na broken white?
Vipi brown curtains? Ni mwakeee pia
Sio nainjoy… kitu kimetulia… depends na vingine vilivyopo![]()
KinomaHatari