Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Raha ipo sanaaa sema hekaheka za mimba sasa uwiii! Na watoto wanabariki sana familia!!
Ni hatari
Nilienda kumuona mdogowangu alikuwa kajifungua nikakutana rafikiyang wa shule ameshikwa na uchungu Kwan tulisalimiana alinipta km hanijui na katabasamu Cha maumivu nikamfata iyo sura nikamwambia poleshoga bdae nitakuja nikaone nilivorud kajifungua alicheka balaa

sema raha Sana hasa wanaopata bahat
ya kudeka nyie ukiwakuta na vigauni vyao wamepndeza
Happy mother's day


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kuna wakati hakuna kudeka unatakiwa kukomaa kijeshi !
Ni hatari
Nilienda kumuona mdogowangu alikuwa kajifungua nikakutana rafikiyang wa shule ameshikwa na uchungu Kwan tulisalimiana alinipta km hanijui na katabasamu Cha maumivu nikamfata iyo sura nikamwambia poleshoga bdae nitakuja nikaone nilivorud kajifungua alicheka balaa

sema raha Sana hasa wanaopata bahat
ya kudeka nyie ukiwakuta na vigauni vyao wamepndeza
Happy mother's day


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Aliyesema kupumzika miezi mitatu hajakosea..

Mimi nilipumzika miezi mitatu sikutaka shida kabisa..

Pole sana dear...
Yeah maternity ni miezi mitatu mapacha minne!Mie pia nilihangaika kwenye ule mpira tu nikawaza ulivamiwa mkojo unavouma vile halafu waliniweka vibaya eti waje wautoe niweke vizuri Mbona nitakufa kha!!
 
Back
Top Bottom