Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Sitaki kukumbuka kabisa shangazi.... sasa mie nilijifanya kuanza kazi mapema kujiona nishakomaa na mshono haukunisumbua kabisa... sasahivi mgongo kiuno vinauma balaa!!
Yaani hadi nimesisimka sitosahau...
Halafu bado maumivu ya palipochanwa..

,huyu mtoto wa pili sasa,ile anatapika anachezesha mshono pale.
alinipta km hanijui na katabasamu Cha maumivu nikamfata iyo sura nikamwambia poleshoga bdae nitakuja nikaone nilivorud kajifungua alicheka balaa
sema raha Sana hasa wanaopata bahat


