Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,192
- 183,008
Sitaki kukumbuka kabisa shangazi.... sasa mie nilijifanya kuanza kazi mapema kujiona nishakomaa na mshono haukunisumbua kabisa... sasahivi mgongo kiuno vinauma balaa!!
Yaani hadi nimesisimka sitosahau...
Halafu bado maumivu ya palipochanwa..