Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Raha sana kuoga na kopo… imagine unaamka unaenda kuanika maji juani😂😂😂


Endelea kumuigizia unatusema na wewe mbingu utaisikia 🤣
😂😂😂😂😂😂
Wakati hapa nipo nachukua maji juani nikajimwagie na kopo fasta nirudi kwenye kagodauni..

Sijui nimtag yule dada aje atupelekeshe huku🤣
 
Na ipi ni nzuri zaidi kati ya hizo 2?
Au naweza kutumia zote Kwa pamoja?
Hii set dear ndo the best kwa Mimi lkn
Sema Bei zinatofautiana na eneo
Screenshot_20220508-113351_1651998884336.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sina pazia aina 1
Siwezi rudia rangi
Sibadilishi..
yan January to December umewekaga tu cream/ rangi ile ile?
Can’t copy that!
nan kakuambia habadilishi pazia?
Pazia zinakua pair hata 4, ila rangi 1, ikifuliwa hizi zingne zinawekwa, ila km zile zile,

Sio unatoa kijani, unaweka blue,
Badilisha, acha kuniangusha bhana dada mzuri. Woiiiiiih
 
Back
Top Bottom