Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,217
Ngoja nifute mapazia niondoke 🤣Haya log out kafue chaaap🤣🤣
Ngoja nifute mapazia niondoke 🤣Haya log out kafue chaaap🤣🤣
Acha upambeeee wee shouzzz, huo uzungu nautoa wapi mie?Coca ni balaa jingine mzungu akasome...!!




Na wewe uselfike best
😂😂😂😂😂😂Raha sana kuoga na kopo… imagine unaamka unaenda kuanika maji juani😂😂😂
Endelea kumuigizia unatusema na wewe mbingu utaisikia 🤣
Rangi mbaya hizi pazia, badilisha khaaaah.







😂😂😂😂 huu ni uchokozi… me Naenda bye 🤸♂️😂😂😂😂😂😂
Wakati hapa nipo nachukua maji juani nikajimwagie na kopo fasta nirudi kwenye kagodauni..
Sijui nimtag yule dada aje atupelekeshe huku🤣
😃Sasa utanambia nini na hujafua? Hujaoga? Umekaa tu hapo kibarazani unachat, mi usichat na mimi.
Hii set dear ndo the best kwa Mimi lknNa ipi ni nzuri zaidi kati ya hizo 2?
Au naweza kutumia zote Kwa pamoja?
utakua heavy weight msukuma sio kwa kupenda mizigo mikubwa hivo!




Sisi wa ushuani tuna mashine za kufulia🏃🏾♀️😂😂😂😂 huu ni uchokozi… me Naenda bye 🤸♂️
Sina pazia aina 1Rangi mbaya hizi pazia, badilisha khaaaah.![]()
Asante Auntie wa Junia..Hii set dear ndo the best kwa Mimi lkn
Sema Bei zinatofautiana na eneoView attachment 2216504
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
We mtoto basi huzijui rangiRangi mbaya hizi pazia, badilisha khaaaah.![]()
Tukifika hapo tunakohoa
Koh Koh Koh
Bila kusahau marehemu alikuwa anapenda mayutong
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app



yalaahhWashing machine zipo mpaka za laki3 na chini ya hapo, utatuambia nini? 😂😂Sisi wa ushuani tuna mashine za kufulia🏃🏾♀️
Sina pazia aina 1
Siwezi rudia rangi
Sibadilishi..
yan January to December umewekaga tu cream/ rangi ile ile?
Can’t copy that!







nan kakuambia habadilishi pazia? 



