Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kamshono kazuuriJapo picha zako mchoyo
View attachment 2216343
Kamshono kazuuriJapo picha zako mchoyo
View attachment 2216343

SanteeKamshono kazuuri
Lipo ila nywele zangu zikiwa fupi ni ngumu kama katani.Hahha iyo hatari kujisuka usiku kucha nunua blow dry siku ukichoka kusuka usiku ukiamka asubuh unanyoosha unaendelea na kusuka sema uwe umeagana na tanesco
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
wee sio changu, nilipigia picha tyuuh.
utajua wewe mie nakitaka.Fastaaaa natuma boda wangu😅usijar njoo chukua tyuuh.
Yaani mimi tena nisione?Nilitaka nikuchambe kwamba hujaniona au omefonga macho?![]()
Nakushikwa na butwaa 🤔sio kushtuka tu!
Mbona umestuka?
Coca ni balaa jingine mzungu akasome...!!Nimeikosa hiii
Kwanini?Nakushika na butwaasio kushtuka tu!

Duh nilisahau nunua moisturizer contioner ya mega au Cantu ni nzuri uwe unapaka kabla ya kuchana utazipenda nywlezakoLipo ila nywele zangu zikiwa fupi ni ngumu kama katani.
Halafu kuchana nywele zilizolala zinaumaaa.
Nimeikosa hio .. nifanyie wepesi dakika moja shoswee sio changu, nilipigia picha tyuuh.
Bana bana sielewi vizuri. Mimi binafsi naona wabongo vile vitenge vya kutoka Kigoma ndiyo tunaita wax. But wataalamu wenyewe wanasema Java prints, Hollande etc; zote zinaingia kwenye wax. Na kwao wax inatumia material ya pamba kutengenezwa.Hivi utofauti ni nini? Mie najivaliaga tu hata sielew.
ShwainYaani mimi tena nisione?
Ntamuoyesha nini sasa mdogo wako?
Najua Unatania!Kwanini?![]()
Duh! Wacha tuendelee kuvaa tu ilimradi ni vizuri inatosha.Bana bana sielewi vizuri. Mimi binafsi naona wabongo vile vitenge vya kutoka Kigoma ndiyo tunaita wax. But wataalamu wenyewe wanasema Java prints, Hollande etc; zote zinaingia kwenye wax. Na kwao wax inatumia material ya pamba kutengenezwa.
Cha muhimu kinavalika😂😂😂😂😂Duh! Wacha tuendelee kuvaa tu ilimradi ni vizuri inatosha.
Kabisa mama.Cha muhimu kinavalika![]()