Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Coca upo?Mie nipooo.
Coca upo?Mie nipooo.
Itakuwa nusu gram bila shakaBasi jana ikawa hivi… wakati nimezivua, nikakukumbuka makapu wetu Saint Anne View attachment 2214980
Itabidi uu-copy somewhere + tembeza codes za kutosha. Na uandike kwa ufasahaafu modes hawakawii kufuta uzi wangu. Wananiboaga sana.
Ngoja nisitoboe tu masikio yanguItakuwa nusu gram bila shaka
Lini?Yupo MbinguniView attachment 2214696
Nipoo hapa.Coca upo?
Atarudi tena Van Vicker![]()
Jaman hivi ntaweza, nlivyo na hasira na huyo mheshimiwa, hivi kweli mtu unachukua nyota za watu,Itabidi uu-copy somewhere + tembeza codes za kutosha. Na uandike kwa ufasaha





Dunia ina maajabu hii.We cheka tuu..😂😂😂 watakuwepo, watoto wa IAA tena
Bado lipo… 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka hadi basi…
Ngoja niweke kambi kidogo hapa, huenda nikaona uumbaji wa Mungu..I've been unlucky siku hizi.
Coca upo?
Cheki mate yanavyokutoka sasa🤣🤣 kama nakuona vile, ningekuonyesha vyupa je??Boss
Njoo pale kazini kwetu.. pale pa siku zote
Siku hizi sina bahati mkuu.Braza usitoke kuna vyombo hapa balaaa
Kumbe upoooo😁hebu onesha hapo survey, uliponificha?
Vyupa vya nini? Mimi situmiiCheki mate yanavyokutoka sasa🤣🤣 kama nakuona vile, ningekuonyesha vyupa je??
Weka namba hapa nikucheck maana kazini hata sipajui dogo