Hakikisha kuna totoz za kutosha😂😂😂 ni Frensi kona? Haha siku najua panaitwa friends kona nilijicheka…
Location Pillars- Njiro 😎
Alaf bomba si bado linatoa maji au lilishafungwa??
Hakikisha kuna totoz za kutosha😂😂😂 ni Frensi kona? Haha siku najua panaitwa friends kona nilijicheka…
Location Pillars- Njiro 😎
Wananisingizia Aunt niliweka kituo kabisaUmenipita kama upepo[emoji2][emoji2]
😂😂😂 watakuwepo, watoto wa IAA tenaHakikisha kuna totoz za kutosha
Alaf bomba si bado linatoa maji au lilishafungwa??
Mie app inazingua, afu niko chimbo nafuatilia ubuyu hapa mheshimiwa m1 wa mjengon pale dom, kumbe kazi kuharibu watoto wa watu, afu anawatumia ktk mambo ya utajiri na biashara zake,
Huyo mtu ni rafik wa star wa kike mkubwaaa, yaan anashusha ushuhuda hapa khaaah, huu ubuyu baadae ntauanzisha uzi. Weuweeeeeeeh.
Huu ubuyu wa motooo, jaman mambo yako hukuuui.
Lazima uzi niushushe, ntatembeza code balaaa.
Wananisingizia Aunt niliweka kituo kabisa
Kaishafuta. Humu inabidi ije sheria ukiweka picha hamna kufuta[emoji16][emoji16]Mbona sijamuona mzungu...
Ulikua umelala [emoji23] poleVan vicker kanipita najuta kulala sana[emoji2][emoji2]
umewaza bien.sheria itungwe harakaKaishafuta. Humu inabidi ije sheria ukiweka picha hamna kufuta[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah hatareee sana.Haya ngoja tuusubiri
Shangazi upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1301][emoji1301]nasubiri [emoji2][emoji2]
Naandaa na [emoji897][emoji484]kabisa, nasubiri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah hatareee sana.
Baadae mbna, nyiee chimbo leo kutamuu.Ila code zisiwe za kuumiza kichwa jamani na usisahau kum tag shangazi yako....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiiih chimbo leo linazizima. UwiiiiiiihNaandaa na [emoji897][emoji484]kabisa, nasubiri.
Jukwaa la celebrities au wapi ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah hatareee sana.
Celebrities kulee dea, baadae.Jukwaa la celebrities au wapi ?
Mimi sitembei sana humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu modes hawakawii kufuta uzi wangu. Wananiboaga sana.Naandaa na [emoji897][emoji484]kabisa, nasubiri.
Duh!!!hatari.Celebrities kulee dea, baadae.
Tupo hapa tunamsihi mtu wetu, maana anataka kumuumbua mheshimiwa public, nyie Dunia ina mambo hii khaaa.
Mtoto wa watu anatuma voice notes kaliaa wee had saut imekata, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sometimes napatwa na uchungu, sometimes nacheka bas tafran tupu woiiii.Duh!!!hatari.
Kaishafuta. Humu inabidi ije sheria ukiweka picha hamna kufuta[emoji16][emoji16]