Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kivuruge niache kwani, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We fanya yote ila stori utuletee [emoji23] ole wako sasa.
 
Akili gani sasa itatulia? Mbona mimi naona hauna akili?


Hahahaha Cocaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] wee tulia hapo CRDB uhesabu pesa za watu.

Mie genius wee, hivi hujui eeeeh? Nawakalisha huku watu na hawaamini yaaan
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] wee tulia hapo CRDB uhesabu pesa za watu.

Mie genius wee, hivi hujui eeeeh? Nawakalisha huku watu na hawaamini yaaan
Kheee yamekuwa hayo tena binti wa tiharahey? 😂😂


Hongera kwa kuwa giniaz
 
Kheee yamekuwa hayo tena binti wa tiharahey? [emoji23][emoji23]


Hongera kwa kuwa giniaz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi wee.
Yaan nimecheka km mwehu hapa.

Nipumzishe kwan, hebu nigawie kwan mapene nitusue mtaan, niseme nna dada wa hiyari mwenzenuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi wee.
Yaan nimecheka km mwehu hapa.

Nipumzishe kwan, hebu nigawie kwan mapene nitusue mtaan, niseme nna dada wa hiyari mwenzenuuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjep ametoka kuzichota nyingi… ongea nae 🤣🤣
 
Kivuruge niache kwani, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha ukorofi shos!!😉😘
 
Back
Top Bottom