Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kivuruge niache kwani,
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia.
We fanya yote ila stori utuletee ole wako sasa.
 
Kheee yamekuwa hayo tena binti wa tiharahey?


Hongera kwa kuwa giniaz
chizi wee.
Yaan nimecheka km mwehu hapa.

Nipumzishe kwan, hebu nigawie kwan mapene nitusue mtaan, niseme nna dada wa hiyari mwenzenuuuu.
 
Kivuruge niache kwani,
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia.
Acha ukorofi shos!!😉😘
 
Back
Top Bottom