Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We cheka tuu..
Nimekuja hadi hapo lakini nimekukuta haupo[emoji2369]
Narudi na miela yangu

View attachment 2215143
Wabadilishe hizo meza. Muhusika wa hapo kafulia au nn?
Haoni mbao hizo zinaanza kutu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asi iangushe jamhuri ya chuga kihvyo, lol.
 
Kumbe upoooo[emoji16]
Mama malezi alitaka kujua uwepo wako afadhali umekuja, hataki kuikosa hiyo story
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] story sio hapa, ni kwingnee.
Na ni baadae usiku. Woiiiiiiiih.
 
Dah
Ni braza huyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeeeeh ndyoooo n brazeli ako, hata sijakataa dada.
Ukisema wee mie nan nipinge? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wabadilishe hizo meza. Muhusika wa hapo kafulia au nn?
Haoni mbao hizo zinaanza kutu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asi iangushe jamhuri ya chuga kihvyo, lol.
Kijiwe cha best yako Depal huwa anakuja kushudia #Chelsea# ikisurubiwa hapa ila pako poa best nitakuonyesha the other side
Wacha nilewe kwanza

20220507_134108.jpg
 
Umeanza[emoji23]
Kivuruge niache kwani, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kivuruge niache kwani, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
Nimetoka kufanya test asubuh, nkaingia chimbo nakutan na story ya kuzizima, ubongo umevurugana hapa, hata sielewi yaan.

Afu leo bado sijaamka na mtu, na sielew atakua wa uraian, JF, FB, twitter, chimbo au wapi.

Yaan hadi nimalizane na mtu, akili itatulia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili gani sasa itatulia? Mbona mimi naona hauna akili?


Hahahaha Cocaaa
 
Back
Top Bottom