Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaan ujue nilikua hapa hapa eti kaweka pic na sijaona jaman
Mie app inazingua, afu niko chimbo nafuatilia ubuyu hapa mheshimiwa m1 wa mjengon pale dom, kumbe kazi kuharibu watoto wa watu, afu anawatumia ktk mambo ya utajiri na biashara zake,

Huyo mtu ni rafik wa star wa kike mkubwaaa, yaan anashusha ushuhuda hapa khaaah, huu ubuyu baadae ntauanzisha uzi. Weuweeeeeeeh.
 
Mie app inazingua, afu niko chimbo nafuatilia ubuyu hapa mheshimiwa m1 wa mjengon pale dom, kumbe kazi kuharibu watoto wa watu, afu anawatumia ktk mambo ya utajiri na biashara zake,

Huyo mtu ni rafik wa star wa kike mkubwaaa, yaan anashusha ushuhuda hapa khaaah, huu ubuyu baadae ntauanzisha uzi. Weuweeeeeeeh.
Khaa! Ukiweka naomba unitag.
 
Mie app inazingua, afu niko chimbo nafuatilia ubuyu hapa mheshimiwa m1 wa mjengon pale dom, kumbe kazi kuharibu watoto wa watu, afu anawatumia ktk mambo ya utajiri na biashara zake,

Huyo mtu ni rafik wa star wa kike mkubwaaa, yaan anashusha ushuhuda hapa khaaah, huu ubuyu baadae ntauanzisha uzi. Weuweeeeeeeh.
Ah so sad
 
Basi jana ikawa hivi… wakati nimezivua, nikakukumbuka makapu wetu Saint Anne
94552225-8E1B-4994-B579-E268EE90D312.jpeg
 
Back
Top Bottom