Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
How it started
Huu ubuyu wa motooo, jaman mambo yako hukuuui.Khaa! Ukiweka naomba unitag.
We ukiweka unitag sasa ole wako usahau.Huu ubuyu wa motooo, jaman mambo yako hukuuui.
Lazima uzi niushushe, ntatembeza code balaaa.
Dea huwezi amini mambo yanayoshushwa hapa, mweeeeh.Ah so sad






Baadae usiku, kule celebrity ntaweka uzi pambeee.We ukiweka unitag sasa ole wako usahau.
Gram ngapi?Basi jana ikawa hivi… wakati nimezivua, nikakukumbuka makapu wetu Saint Anne View attachment 2214980




Haya dia.Baadae usiku, kule celebrity ntaweka uzi pambeee.
Hiyo si ya kukosa kabisaDea huwezi amini mambo yanayoshushwa hapa, mweeeeh.
Mbna inaogopesha, mheshimiwa anakusanya nyota za watu km zake vilee,![]()
Hiyo si ya kukosa kabisa
Ubuyu unanoga ukiwa wa moto fanya ulete uzi dear




huu ubuyu baadae nauweka, kaeni mkao wa kusubir tyuuh.Haya ngoja tuusubirihuu ubuyu baadae nauweka, kaeni mkao wa kusubir tyuuh.
Ndo nazichukua hapa Frensi kona nikazitumbueHaya
Amka ukazitumbue..


😂😂😂 ni Frensi kona? Haha siku najua panaitwa friends kona nilijicheka…Ndo nazichukua hapa Frensi kona nikazitumbue
Nipe location
Mama ni hatarituna wazungu humu kumbe
Kina Van Vicker wa bongo sasa


Hahaha kumbe nina sister humu![]()