Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Baadae mbna, nyiee chimbo leo kutamuu.
yaan watu hadi wajue mbivu na mbichi, kisa kutaka kuroga limbwata, kufika kaambiwa wee ashakuharibu kitamboooo
Jaman mie sitaki. Khaaaah.![]()
Celebrities kulee dea, baadae.
Tupo hapa tunamsihi mtu wetu, maana anataka kumuumbua mheshimiwa public, nyie Dunia ina mambo hii khaaa.
Mtoto wa watu anatuma voice notes kaliaa wee had saut imekata,![]()

Wewe sasa ndio hutaweka kabisa picha sijawah kukuonaumewaza bien.sheria itungwe haraka
We una uzee gani jaman. Mimi hapa ndio mzee![]()




Hebu tulia huko,mimi natembea na fimbo kabisa
Ngoja aje [mention]mzabzab [/mention] atuambie kama wewe ni mzee au?![]()


haya basi tufanye yameisha.hahahaha,sheria kwa wanaoweka na kufutaWewe sasa ndio hutaweka kabisa picha sijawah kukuona
Mie nipooo.Nipoooo....
Mzima?
Baadae usiku.Masikini hurumaa
Utaweka muda gani?
Ooh inasikitisha sanaCelebrities kulee dea, baadae.
Tupo hapa tunamsihi mtu wetu, maana anataka kumuumbua mheshimiwa public, nyie Dunia ina mambo hii khaaa.
Mtoto wa watu anatuma voice notes kaliaa wee had saut imekata,![]()
Yule mkorofi anaweza nishikia bango hapa mwaka mzimaunamuoga kiboko yako...



hahahaha.andaa muswada wa sheriaNdio![]()
Baadae usiku.