spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Sikuona hiiKweli na ukwaju pia
Watu kama tuna mimba changa![]()

upate na pilipili iliyokolea limao ni hatari.Sema kweli?Sikuona hiiupate na pilipili iliyokolea limao ni hatari.
Nimeomba msamaha mara nyingi hutaki kunisamehe sa nfanyaje? Wewe niroge tuSi nilikwambia uombe msamaha ukaleta ujeuri wa Kinyaki? Haya sasa tutaona...na hapa nilipo niko safarini kwenda nyumbani Gamboshi kwenye mazagazaga kama yote. Msamaha utauomba tu hata kabla Yesu hajarudi![]()

Yeah vocha haina komlpikesheni kama hela!!Nawaona wabunge wenzangu tukiendelea kupitisha sheria nzuri nzuri
Kweli napenda chips mnoSema kweli?
Umeamkaje dogo?

🤣🤣🤣🤣 Kuna mtu nataka nimfunze adabu🙈🤸🤸🤸Mzee mwenzangu una mechi nini?![]()
Acha tu hapo inanoga balaaSikuona hiiupate na pilipili iliyokolea limao ni hatari.

Umeamkaje rafiki?Acha tu hapo inanoga balaa
Maisha ni haya haya![]()
Nipo poa vipi wewe ?Umeamkaje rafiki?
Eti mzee wa vocha😁Kweli napenda chips mno
Nimeamka salama mzee wa vocha, hali yako??
Ela tayari tunazo tulitafuta sana ujanani sasa uzeeni tunaamka tukatumie tuuAmkeni mkatafute hela za watu za rejesho/ kibati/ vikoba/ kodi nk
Safi, nipo poa piaNipo poa vipi wewe ?