Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,564
Mmh ,nimevaaje labda,ndo itakua rahisiNahisi ulikuwa kwa balcony flan hivi
Mmh ,nimevaaje labda,ndo itakua rahisiNahisi ulikuwa kwa balcony flan hivi
Kumbe hii mida hamnaga emoji![]()
kidoogooooo kwa mbaliHapo kibozoneWe ndo mpenzi wangu
We ndo kioo changu
Nikipendeza mtaani we ndo
Designer wangu wangu
Mshauri wangu wangu
Wa nyendo zangu zangu![]()



Upendo Mimi na yeye rafiki hautafika mwishoPepo toka kichwani mwake
Nakuamooroo utookee
Acheeeea acheeaaa
Kuna saloon 1 hivi ipo sinza pale.Kiduku amaizing
Unapendeza nacho dear halfu unapaka wanja mzuri huo wapi.
Ndiooowee ushainyakaa? Uwiiiiih.
nina bahati leo.Umeona eehkitu liveeee mama Abiud,
Tanteeeeeeeh.

kishafutwa mudaaaHuu ni uchoyo ujue umejificha sana




aaah wee akat hapo. Nipo live kabisaa.HahaaaHapa kaka aliopoa chombo jamani
Tumoghele Mbeya![]()

Acha hizo bana, weka pic hapaTatizo vocha ndio sina![]()
Looo kitu portable Leo nimekiotea![]()




mama Abiud wee, acha visa bas khaaaahEeh wapo vizuri basiKuna saloon 1 hivi ipo sinza pale.
Ndo huwa naendaga kunyoa, na wanafanya make up.
Ama kweli kizunguzunguHapo kibozone
Ndio wanakusikilizisha zis muzik![]()
![]()
![]()
Rachuliii🔥Hapo kibozone
Ndio wanakusikilizisha zis muzik![]()
30.Eeh wapo vizuri basi
Make up bei gani wanafanya hapo ?
Unasagia kunguniWe boy gani anakuwa mbaba na midevu anagonga mijack daniels


Ooh!oky. W.end moja moja kutulia home pia ni vizuri.
NikadhaniOoh!oky. W.end moja moja kutulia home pia ni vizuri.