Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Mtumishi uliwahi kutupia kitu kikali na view point matata.
Nilijua ushafutaa nimekuja faster
Hebu nibariki tena basi?
Mtumishi uliwahi kutupia kitu kikali na view point matata.
Nilijua ushafutaa nimekuja faster
Huo ni upambeSiri ni ya mtu mmoja
Njoo basi shoga uninong'oneze..
Huwezi jua naweza kukuambia kitu.
Selfie hiyo hapo
View attachment 2214556

Si nilikwambia uombe msamaha ukaleta ujeuri wa Kinyaki? Haya sasa tutaona...na hapa nilipo niko safarini kwenda nyumbani Gamboshi kwenye mazagazaga kama yote. Msamaha utauomba tu hata kabla Yesu hajarudiHahah jaman, tusifanyiane hivi ujue sio vizuri.





Mrembooo wee ni mtraaaamuuu, anaekukula. Anakufaidi mnooo.Yaan wewe sijui nikufanyaje nyau wewe.View attachment 2214583




😜Zingine changamsha kijiwe😬😂😂😂kwani zingne zinakuaga za uongo? Wee khaaah
Aaaaaah wee lolZingine changamsha genre
![]()
Mtumishi safi kabisaSelfikaaaaView attachment 2214582
Ooh mimi huyo ?Una moyo mzuri binti sayuni.
Barikiwa sana


HahaaaMtumishi uliwahi kutupia kitu kikali na view point matata.
Hebu nibariki tena basi?
Haijulikani ipi ni ya ukweli ipi ni ya uwongo😬😬
AmenOoh mimi huyo ?
thank you aisee .. be blessed too
Hatimaeee
mzee wa kutuachia manyoya leo nmekunyaka.