Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Niwekee na mayoinaise
Chipsi hizi
bila hiyo chips haijakamilika.
Utukufu wa mwanamke ni nyweleMimi ni kigeu geu siwezi kunyoa kiurahisi
Weka we kwanza bestNa wewe rudia best ulifuta haraka sana
Kwan kutoa hela ni kwamba mtu hajiwezi jaman msitufanyie hivo.Huyo anajiweza![]()
Unaachaje lakini?Naachaga na kurudii...naweza kuacha leo kesho nikarudia![]()
Kweli na ukwaju piabila hiyo chips haijakamilika.


Usinishtaki basi?Kwan kutoa hela ni kwamba mtu hajiwezi jaman msitufanyie hivo.

Yaan sahivi nikiweka kiduku changu, najiona Dunia nimemalizaaaEeh bei za mjini hizo
Ooh wanakunyoa vizuri na unapendeza nacho





Nimekwenda kwenye friji nimekuta kweli kuna likopo la Mayonnaise dah! Sijui nitaambia nini watuNavyoipenda hii kitu sasa.



Ooh sahihiUtukufu wa mwanamke ni nywele
Mwambie atoe ule mkabrasha usoni ndio aweke tena.




tena atoe haraka sana.
KabisaOoh sahihi
Nywele zapendesha pia
Chizi wee.Sina jambo sina jambo
Ah bomgo hip hop![]()




Niletee ulanzi bhana mlongo. Khaaaah
Eeh lazimaYaan sahivi nikiweka kiduku changu, najiona Dunia nimemalizaaa
![]()
Mmeanza kumharibu mtumishi Saint AnneChizi wee.
Leo umepatwa na nn?