Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Yeah unachacha vibaya na hili joto ndo kabisaUkwaju siwezi hata kidogo yaan.
Wee unachacha kinomaah,![]()
Ngoja nikinunua tena niweke kwa fridge
Yeah unachacha vibaya na hili joto ndo kabisaUkwaju siwezi hata kidogo yaan.
Wee unachacha kinomaah,![]()
Usiku wa manane nikasikia aniitaChizi wee.
Leo umepatwa na nn?


Hata sahivi mbna,




Natamani ningekuwa na ukwaju muda huuAcha tu
Sio kwa kupenda uchachu hivi nilinunuaga chupa ya ukwaju nitumie hapa nyumbani sasa hivi nimehamia kwenye pilipili ya embe na mbilimbi .

Naomba uimbe wimbo.Usiku wa manane nikasikia aniita
Kufumbua macho simuoni tena
Usiku wa manane nikasikia "ki ki"
Kifichama pembeni ....
Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani ninamuwaza yeye na ninapata kiwewe
Lady Jideeee



Ooh pole sanaNatamani ningekuwa na ukwaju muda huu
Tumbo linaniuma vibaya mno.
Sipendi vitu vya uchachu.Yeah unachacha vibaya na hili joto ndo kabisa
Ngoja nikinunua tena niweke kwa fridge
Huo wimbo naupendagaNaomba uimbe wimbo.
"Jeraha" by Jovial.
![]()
Ooh sawaSipendi vitu vya uchachu.
Mie ndo mda wote yaan.Huo wimbo naupendaga
Video huwa nareplay tuMie ndo mda wote yaan.
Afu hadi natoaga machozi, uko emotional sana.
Tena video ndo kabisa huwa nalia haswa.
Nadhani ingenusaidiaOoh pole sana
Huwa inakusaidia kukata maumivu ?
Wishing you quick recoveryNadhani ingenusaidia
Maana nimemeza dawa sioni mabadiliko
YaaniWishing you quick recovery
Tumbo lauma vibaya .. haupati amani kabisa

Yule Dada anajua kuimba jaman, mweeeh.Video huwa nareplay tu
Huwa unagusa moyo kweli .. what a song .
Duuuh poleee sis, utapata nafuu.Yaani
Hapa nataka nikoroge maziwa ya unga,,sijui yatanisaidia
Asali imedunda.
Ooh yanaweza kukusaidiaYaani
Hapa nataka nikoroge maziwa ya unga,,sijui yatanisaidia
Asali imedunda.
Yeah anajua kweli ..ana kipaji haswaYule Dada anajua kuimba jaman, mweeeh.