Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Upendo upo bhanaWee cha msingi tuwape pesa nyie mtupe mbususu haya mambo ya kupendana kwa huu mwisho wa dunia hayapo
Pesa haina thamani kama true love
Upendo upo bhanaWee cha msingi tuwape pesa nyie mtupe mbususu haya mambo ya kupendana kwa huu mwisho wa dunia hayapo
NiDuh mtu miaka inakatika tu haoi.
Si aoe muendelee kutafuta pamoja.
Unadhani upo kwenye mahusiano kumbe upo single,,,anakuja mtu mzuri tu unamuacha.
Aisee akija mzuri tutembee naye mbele .
MwehKomaa
Kuna lilevi (sijui litaona)
Linamvutia kasi
Eti wakaongelee
Mke ndio huyo
Msabato
Halafu ulimuona kwa daladala
Akiangalia kwa dirisha




Tumeoa na bado hatuna hela na uchumi wa kibishi. Yani ningesubiri niwe na kila kitu ndio nioe huenda ningekuwa bila bila hadi leoMtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.
Wanawake Mungu atusaidie tu kwa kweli; unakaa na mtu mkihustle miaka na miaka afu unakuja kuachwa solemba. Umri umeshaenda jamii inakusimanga, huku bado unaonekana ni malaya umetumika miaka mingi na ex wako, umebaki na majeraha ya moyo. Ila pia ungemuacha huyo mwanaume wakati bado hajiwezi kiuchumi, ukaenda kuolewa kwingine; ungelaaniwa hadi makaburi ya kwenu teh.
Sio tu Wanawake hatujui tunachotaka, hata wanaume hawajui pia wanachotaka. Na kiukweli wapo wanaume wengi tu ambao wameoa bado uchumi wao ukiwa unasuasua; ila bado comments za wanaume zitakufanya uhisi wote waliooa wana hela au kwenye ndoa zao hawapitii changamoto za kiuchumi kabisa; yaani hakuna wanaume waliooa ambao hawana hela.
walau tunajivunia ma-junia
True toka kwa nyie viumbe hamna...labda uniambie heshima ya kweli sawaUpendo upo bhana
Pesa haina thamani kama true love
Binti ana lipsUjue mbususu yako haikuwa tamu ndio maana hajarudi tena
Umegusia jambo la msingi sana. Wenzetu wanapambania legacy. Yaani ni kitu cha muhimu sana kwao. Wakiondoka watakumbukwaje. Unakuta mtu anaishi maisha ya kawaida kumbe ana vimilioni vyake kadhaa ameviweka kwenye trust na ameandika will kabisa kuwa akifa vyote vipelekwe kwenye chuo au shule fulani vikajenge jengo ambalo litapewa jina lake iwe kama kumbukumbu ya kudumu. Ndiyo maana ukienda kwenye vyuo vikuu vyao utakuta majengo karibu yote ni majina ya watu. Utakuta SYB School of Economics. Ukiulizia huyo SYB alikuwa nani utapewa historia yake yote na kiasi cha pesa alichotoa kujenga jengo hilo. Na uzuri majimbo mengi pia wana matching program. Yaani SYB akitoa milioni 10 kujenga jengo serikali ya jimbo nayo ni lazima itoe milioni 10. Hivyo mjengo wa dola milioni 20 unajengwa lakini unaitwa kwa jina la SYB kwa vile ndiye initiator. Legacy!
Na tabia hii ya kukazania legacy ndiyo imewafanya kwa kiasi kikubwa waondokane na ufisadi huu wa kijinga kama tunaofanyiana huku. Huwezi kula hela za barabara au za visima vya maji kwa sababu kwanza utafungwa na utaharibu legacy yako mazima. Wenzetu hawawazi tu matumbo yao na familia zao. Ndiyo maana hata utajiri wao ni generational. Watoto, wajukuu, vitukuu, vilembwe....kamwe hawatakubali jina la familia life na watapambana kufa na kupona kuhakikisha kuwa biashara inaishi. Akina Ford. Akina Toyota. Akina Benz. Akina Boeing.....
Polepole bro![]()

Alaaniwe Mwanamke aliyekuumiza kwenye mahusiano😬True toka kwa nyie viumbe hamna...labda uniambie heshima ya kweli sawa
Ile pombe tu ishachana mkeka.Ni
Vile tu ni Dada
Haki ya nani
Ningepita nawe hivi
Halafu halafu unatulia
Namuheshimu kaka yako sana
Wanaume wasome hapaTumeoa na bado hatuna hela na uchumi wa kibishi. Yani ningesubiri niwe na kila kitu ndio nioe huenda ningekuwa bila bila hadi leowalau tunajivunia ma-junia
![]()


Tayari una msimamo hasi juu ya wanawake ni vigumu sana kuona kwamba kuna wanawake wana upendo wa kweli .True toka kwa nyie viumbe hamna...labda uniambie heshima ya kweli sawa
Mwanamke anayejielewa hawezi kukwambia hivyo hata kama kweli una kibamia cha kufa mtu. Na hata akisema hivyo we si umeshamchafua? Na kupiga bao (kumchafua) si ndiyo lilikuwa lengo lako? Kwa nini uumie wakati umelinda heshima ya ukoo (japo umeharibu CV)?![]()

Binti ana lips
Classic
Vidole vya mguu vimenyooka
Halafu vimebana
Pigia mstari arif

Unakuja kushtukia kitu kizito kimekushukia







KumbeeeMapema nakumbushia hapa nimesahau kitu ganieti wapendwaView attachment 2195506






Mimi huyo kabisaShida inakuja pale ambapo "everything seems to be ok". Unaona unapendwa, unajaliwa, unathaminiwa na unaona jinsi mwenzio anavyopambana. Wanaume wengi wasipokuwa na hela eeeeh unasema Jehovah nikurudishie nini. Na hapo ndiyo wengi tunapokwama nao![]()


😬😬😬Kumbeee
SYB aliiweka hapa mapema![]()
LazimaAh wee hawa wanakuchana live tuu. Sasa unakuta huyo demu ndio ulishampenda