Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220421-163357.jpg
 
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..
Wakati mwingine mnavumiliaga ujinga pia..
Haya tuambie basi hivo vitu vinanvuoendelea ambavyo hatuvijui
 
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..
Msi-play sana the victim card basi jamani. Hata nyinyi kuna wengine ni pasua kichwa aisee. Try to be objective a bit na msituwishe kila kitu sisi ohoo!

On a serious note kwa kiasi kikubwa nakubaliana nawe. Wanaume sisi haturidhiki yaani. Yaani maisha yakinyooka vipesa vikakubali basi huyoo kiguu na njia kutafuta michepuko. Huyu uliyehangaika naye ambaye kwa sasa atakuwa na watoto kadhaa na pengine uzuri wake ushaanza kufifia unaanza kumwona hafai. Na wakati mwingine unakuta mtu kabahatisha mke ambaye hana makuu lakini ndo hivyo sasa. Hata sijui tatizo ni nini yaani...

Ila Mungu naye si Athuman ati! Wengi wao huwa na mwisho mbaya sana huko uzeeni kwa sababu wanakuwa wameshaharibu kila sehemu. Vihela na tuvyeo vyao vikifikia kikomo tu ndo moto unawawakia sasa. Inahuzunisha!
 
Msi-play sana the victim card basi jamani. Hata nyinyi kuna wengine ni pasua kichwa aisee. Try to be objective a bit na msituwishe kila kitu sisi ohoo!

On a serious note kwa kiasi kikubwa nakubaliana nawe. Wanaume sisi haturidhiki yaani. Yaani maisha yakinyooka vipesa vikakubali basi huyoo kiguu na njia kutafuta michepuko. Huyu uliyehangaika naye ambaye kwa sasa atakuwa na watoto kadhaa na pengine uzuri wake ushaanza kufifia unaanza kumwona hafai. Na wakati mwingine unakuta mtu kabahatisha mke ambaye hana makuu lakini ndo hivyo sasa. Hata sijui tatizo ni nini yaani...

Ila Mungu naye si Athuman ati! Wengi wao huwa na mwisho mbaya sana huko uzeeni kwa sababu wanakuwa wameshaharibu kila sehemu. Vihela na tuvyeo vyao vikifikia kikomo tu ndo moto unawawakia sasa. Inahuzunisha!
Hahaha We are not playing the victim jamani, hii inaenda pote pote, it’s true kuna wanawake wasumbufu hawaridhiki, yes wapo, ila tunasemea ile mdada akichelewa kuolewa watu wote wanamuona yeye ndio ana tatizo bila kuangalia upande mwingine pia..
 
Hahaha We are not playing the victim jamani, hii inaenda pote pote, it’s true kuna wanawake wasumbufu hawaridhiki, yes wapo, ila tunasemea ile mdada akichelewa kuolewa watu wote wanamuona yeye ndio ana tatizo bila kuangalia upande mwingine pia..
Nimekubaliana nawe kabisa kabisa...hayo nadhani ni madhara ya mfumo dume tu. Kila tatizo anabebeshwa mwanamke. Na haiishii hapo tu. Binti akiolewa halafu akachelewa kupata mtoto anayelaumiwa ni mwanamke hata kama mwenye tatizo ni mwanaume. Ndivyo jamii yetu ilivyo!
IMG-20220420-WA0107.jpg
 
Pole pole wapi hawa wanatusimanga na kututeremshiaga matusi oh kibamia, kanichafua tuu
Mwanamke anayejielewa hawezi kukwambia hivyo hata kama kweli una kibamia cha kufa mtu. Na hata akisema hivyo we si umeshamchafua? Na kupiga bao (kumchafua) si ndiyo lilikuwa lengo lako? Kwa nini uumie wakati umelinda heshima ya ukoo (japo umeharibu CV)?
 
Back
Top Bottom