Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
LolMuhimu kutega mabomu maeneo mbali mbali hujui lipi litazaa matunda.
Ila seriously wikend tuonane mrembo kweli vile mie nataka nikuwowe
sawaLolMuhimu kutega mabomu maeneo mbali mbali hujui lipi litazaa matunda.
Ila seriously wikend tuonane mrembo kweli vile mie nataka nikuwowe
sawaKumbe ndio wa namna hiyo mnawapaga mbususu bureee


mbona wewe unapenda wezere...usitusemeDharau sasaKile kifua mwenzangu hatari


Pamefanana na Singida 😅Nipo kitaa hiiView attachment 2195367
Lakini kuwa mkweli ata wewe kuwa wananwake wana wezere zuri ata wewe mwanamke mwenzie unatamani kuliminya minya😜mbona wewe unapenda wezere...usituseme
Sija likeKile kifua mwenzangu hatari
Ndio
Bobo wa Ana Juakali![]()

bidada zile scenes za kissing atakua anakosea makusudi warudieDharau wapi akati nmemsifia jamanDharau sasa
Hivyo mie nina kibao
Cha kubebea tofali kifuani
Sio![]()
Sija like

NdioUnaweza ukamuambia baki hapo usiondoke
Kiukweli Vicker yupo vizuri .
Yule hutakiwi hata kushika simu yake 😅Kudate mwanaume kama Van inataka sana moyo, mwanaume mzuri kama mdoli.
Kuliminya tena? Hiyo hapanaLakini kuwa mkweli ata wewe kuwa wananwake wana wezere zuri ata wewe mwanamke mwenzie unatamani kuliminya minya![]()
Yeye ndio alikomaa hakunikatia tamaa !! Yani chuo sijasoma kwashida kabisa jamaa alikua anaprovide huku hom nako napewa! Mwaka wa tatu akaona nikimaliza nitamkimbia akawekeza🤣🤣🤣😂😂😂😂!Na alipoteuliwa kuwa mmoja wa waenda nje akasema tufunge kwanza!Kweli mlikuwa serious. Vijana wa kileo baada ya mimba wangekimbia
Handsome mnooo , na mwenzake Ramsey pamoja na uzee wake lkn mzuri badoYule hutakiwi hata kushika simu yake
Ila Van V handsome..
Very appealing![]()
WanaumeNdio
Maana hatuwaoi
sasa kumsifia Van nayo imekua nongwa acha hizo bwana.Kwa jinsi ulivyo lazima mjeda akomae na wewe. Inawezekana alikuwa anakipata alichokuwa anakihitaji.Yeye ndio alikomaa hakunikatia tamaa !! Yani chuo sijasoma kwashida kabisa jamaa alikua anaprovide huku hom nako napewa! Mwaka wa tatu akaona nikimaliza nitamkimbia akawekeza🤣🤣🤣😂😂😂😂!Na alipoteuliwa kuwa mmoja wa waenda nje akasema tufunge kwanza!
Haya mambo ni Mungu tu mkuu!!Kwa jinsi ulivyo lazima mjeda akomae na wewe. Inawezekana alikuwa anakipata alichokuwa anakihitaji.
Mtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.Thenki yu !!!
Karibia wote waliovuka 30 bila kuolewa ishu zao zinafanana. Kuna mabraza mob waliotaka kuwaoa wakati wa kilele cha ujana wao (18-25; 26-29) lakini mabraza hao hawakukidhi vigezo vyao - ama vya kimwonekano (tall dark guy) au kiuchumi (gari, kazi, nyumba). Kipindi hiki ni kipindi ambacho mabinti wengi wanakuwa very arrogant. Kuna mmoja nilitaka kumuoa lakini aliishia kunicheka tu. Hata sisi wanaume huwa tunaumia sana. Unampenda sana mtu lakini ndo utasikia we siyo type yangu; au subiri kidogo kwa sasa siko tayari kumbe amekuona hufai kwa vile tu bado unapambana.
Na tatizo ni kwamba katika umri wa 18-30 hata mpaka 35 huko wengi wetu tunakuwa bado tunahangaika na maisha. Lakini mabinti wao wanataka mtu ambaye tayari keshajiimarisha. Na kweli wanachukuliwa na hao wenye kukidhi vigezo vyao vya wakati ule. Na wapo wanaoolewa na wapo wengi tu wanaoachwa. Ndo hawa sasa akija kushtuka oops yuko 30+. Na vigezo ndo kidogo vinaanza kupunguza makali sasa.
Wengi tu mlishakataa mabraza kibao waliotaka kuwaoa kwa sababu hawakuwa na vigezo vyenu mlivyovitaka. Lakini ukiuliza utasikia ooo nilikuwa naye akanicheat...na always makosa ni ya mwanaume.
Tuwafundishe mabinti zetu kuangalia utu wa mtu kama inawezekana. Some of you have lost real good men and soulmates kwa sababu tu wakati ule hawakuwa vile mlivyotaka wawe kiuchumi...
But again; life is a process of making choices and living with the consequences of those choices.
Na swali la muhimu zaidi ni hili: Ni lazima kuoa/kuolewa? Kwani mtu ukiishi tu kivyako bila kuoa/kuolewa kuna tatizo gani?
Mjeda amepata anayetoka kwa bwanaHaya mambo ni Mungu tu mkuu!!