Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekubaliana nawe kabisa kabisa...hayo nadhani ni madhara ya mfumo dume tu. Kila tatizo anabebeshwa mwanamke. Na haiishii hapo tu. Binti akiolewa halafu akachelewa kupata mtoto anayelaumiwa ni mwanamke hata kama mwenye tatizo ni mwanaume. Ndivyo jamii yetu ilivyo!
View attachment 2195487
Duh

Siyo wote wanataka kuzaa mapema wakishaoana.
 
Ona sasa. Mzee wa miaka 83 bado mtambo wake wa Nyuklia unafanya kazi. Ila ningemshauri apime DNA mapema. Kuna uwezekano mkubwa wa kubambikiwa (hasa kama ana vihela)

Hata Mrema anaweza akapata mtoto...Kule Naija nako Rais wa zamani Gen. Obasanjo nasikia kavuta pisi iko mid 20s japo naye yuko huko kwenye 80s. Men!

Screenshot_20220421-105255_Chrome.jpg
 
Ona sasa. Mzee wa miaka 83 bado mtambo wake wa Nyuklia unafanya kazi. Ila ningemshauri apime DNA mapema. Kuna uwezekano mkubwa wa kubambikiwa (hasa kama ana vihela)

Hata Mrema anaweza akapata mtoto...Kule Naija nako Rais wa zamani Gen. Obasanjo nasikia kavuta pisi iko mid 20s japo naye yuko huko kwenye 80s. Men!

View attachment 2195561
Kuna kitu kinashindikana kwa Mungu mkuu
 
Back
Top Bottom