Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi Jua kali ni nzuri eehh! Yani mimi drama za kiswahili naangalia huba tu...za mbele ndio napenda mnooo!
Kiasi chake

Naangalia

Halafu naenda kusimulia

Totoz za kigali

Niliwaonyesha picha nilipiga

Bahati mbaya na Diamond

Hapo mlimani

Nikawaambia jirani yangu huyu

Wakaamini

Halafu ndo vile
 
1FE070FA-A5AE-4DE3-9F33-EF51C53F7C1F.jpeg

Tupate tangazo kutoka kwa wa dhamini wetu.
 
Mtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.

Wanawake Mungu atusaidie tu kwa kweli; unakaa na mtu mkihustle miaka na miaka afu unakuja kuachwa solemba. Umri umeshaenda jamii inakusimanga, huku bado unaonekana ni malaya umetumika miaka mingi na ex wako, umebaki na majeraha ya moyo. Ila pia ungemuacha huyo mwanaume wakati bado hajiwezi kiuchumi, ukaenda kuolewa kwingine; ungelaaniwa hadi makaburi ya kwenu teh.

Sio tu Wanawake hatujui tunachotaka, hata wanaume hawajui pia wanachotaka. Na kiukweli wapo wanaume wengi tu ambao wameoa bado uchumi wao ukiwa unasuasua; ila bado comments za wanaume zitakufanya uhisi wote waliooa wana hela au kwenye ndoa zao hawapitii changamoto za kiuchumi kabisa; yaani hakuna wanaume waliooa ambao hawana hela.
Haya mambo hayana fomyula mtumishi. Ni sandakarawe ya kukata na shoka yaani (japo makosa mengi anabebeshwa mwanamke)....Mungu na Awasaidie sana kwa sababu hakuna namna ila ni mtihani wa kutisha mno!

Huyu dadake na Junia hapa yeye kasema hatakaa aolewe ila ikiwezekana atapenda kuwa na katoto kamoja tu. Nami huwa namuunga mkono. Ila najua pengine atabadili msimamo akikutana na tall dark guys huko medical school. Baadhi ya magazeti yako unayoandikaga humu (kama lile la leo) nimeyasevu nitamtafsria awe anayasoma. Asante sana kwa huduma yako yenye upako
 
Mtumishi Mimi kwa upande wangu; mabinti wengi ninaofahamiana nao na wapo above 30; wengi wamejikuta umri huo bilabila kwa sababu ya uvumilivu/loyalty yao. Walianza mahusiano high school na wengine vyuoni na hao maboyfriend wakiwa na matumaini ya kuja kuspend the rest of their lives pamoja. So hata walipotokea watu wengine wenye nia za kuwaoa; wao walikataa kwa sababu waliamini tayari wana mahusiano yao serious yatakayozaa ndoa. Wanaume walipoanza kusimama kiuchumi ndiyo wengi walianza kuonesha makucha yao and eventually waliishia kuwaacha Wanawake wao wa zamani; wakaoa mabinti wapya kwao.

Wanawake Mungu atusaidie tu kwa kweli; unakaa na mtu mkihustle miaka na miaka afu unakuja kuachwa solemba. Umri umeshaenda jamii inakusimanga, huku bado unaonekana ni malaya umetumika miaka mingi na ex wako, umebaki na majeraha ya moyo. Ila pia ungemuacha huyo mwanaume wakati bado hajiwezi kiuchumi, ukaenda kuolewa kwingine; ungelaaniwa hadi makaburi ya kwenu teh.

Sio tu Wanawake hatujui tunachotaka, hata wanaume hawajui pia wanachotaka. Na kiukweli wapo wanaume wengi tu ambao wameoa bado uchumi wao ukiwa unasuasua; ila bado comments za wanaume zitakufanya uhisi wote waliooa wana hela au kwenye ndoa zao hawapitii changamoto za kiuchumi kabisa; yaani hakuna wanaume waliooa ambao hawana hela.
Duh mtu miaka inakatika tu haoi.
Si aoe muendelee kutafuta pamoja.


Unadhani upo kwenye mahusiano kumbe upo single,,,anakuja mtu mzuri tu unamuacha.
Aisee akija mzuri tutembee naye mbele .
 
Back
Top Bottom