Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunaona hata wengi wao wanavyowatreat kwenye ndoa hao wanawake waliohustle nao; full manyanyaso. Na wengine waliachwa kwa tabia mbaya; ila wanaishia tu kulaumu kuwa ukiwa huna pesa hakuna mwanamke atakayekupenda. Sasa uvumiliwe na mitabia yako kibaya kisa maskini? Na ndiyo hao hata akipata pesa anataka akutreat kama one of his object; imelala yooooooo
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..
 
Wee mie kichaa tu nina madhambi yangu kibao!!!🤔🤔 sema kuna umri nilicharukaga kweli kweli ila saivi nimetulia nalea ndoa wanaume wenyewe wachache 🤣🤣😂😂😂! Akiniponyoka nahawa watoto wawili sijui nitafanyeje Sitaki tena ujinga mbona!!
Na ukae kwa kutulia kwerikweri
 
Kabisaa, me nashangaaga, mdada akichelewa kuolewa, ooh alikua anachagua sana, ooh alikua anadanga etc etc.. hivi wanajua upande wa pili ni vitu gani huwa vinaendelea kweli ?? Wanawake tunavumilia sana sanaa basi tu..
Msiwe mnatukataa

Na sisi sura za wajenzi

Halafu mimi

Domo zege

Najaribu jaribu
 
Back
Top Bottom